Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 604
hadithi ya chemponda haiwezi kufuta maana na umuhimu wa JKT. Hata mtaani watu wanabakwa kila siku. Ukitaka vya urahisi utaliwa tu, iwe jeshini, uraiani hata misioni. kikubwa ni kzingatia yale yaliyokupeleka kule.
Mimi nilikua Makutupora, wasichana walikua wanagombea post ya kuhudumia rest house ya maafande wakati wanajua ni nini kinafanyika kule! Kisa chakula kizuri na soda!
Mimi nilikua Makutupora, wasichana walikua wanagombea post ya kuhudumia rest house ya maafande wakati wanajua ni nini kinafanyika kule! Kisa chakula kizuri na soda!