Kusomesha watoto shule za private ni matumizi mabaya ya fedha

Ni fasheni tu na ulimbukeni, wazazi wengi hata elimu ya kawaida haikuwakaa vyema hawajui misingi ya elimu na mitaala ilivyo
Ignorance mzazi unions daftari limeandikwa kiingereza anfurahi mtoto kakalilishwa good night father na good morning tu engine Chenga
 
Mtoto wako asome darasa lenye wanafunzi 100 kwa chumba kimoja. Halina ubora wowote, vumbi kama lote.
Hewa nzito.
Ilhali unauwezo wa kumpeleka shule yenye hali nzuri. Utakuwa hujui maana ya kufurahia na kutumia pesa zako
Ndo maana yanakuwa mashoga sasa kila kitu kufanyiwa tu, ukija kufirisika ndo utajua nilikuwa namaanusha nini
 
Wapuuzi sana hawa wanaoshupalia shule za umma.

Nilipita juzi kule kigogo kuna watoto wanakaa chini, halafu eti mwanao umpeleke hapo.

Ubahili wa kijinga kabisa, kama uwezo unao angalia ubora wa shule na sio uangalie sijui hii english medium na hii sio.
Kukaa chini so tatizo tena bora wao chini sisi kwenye mawe ndo maana tumetoka kimaisha sio mtoto linakaa kimamama tu
 
Kajamba nani matatizo sana. Pelekeni shule nzuri watoto wajijengee misingi imara ya kujiamini kwa lugha ya kimataifa
Kimataifa mbn tumesoma nao chuo hata english tu yakuandika hawajui haya icho kifaransa ataongea na nani
 
Wengi mli opposite na mtoa mada naona wengi mnazungumzia mazingira tuu ya shule za gavoo kuwa mabaya lakin mmeshindwa kueleza ubora wa elimu wa shule hizi za private !je ubora wa elimu ya private uko tofauti na huu wa hawa wanachuo wanaotembea na vyeti barabarani wakilalamika ajira? Je elimu inayotolewa private huwa inaleta impact kwenye self reliance na kuleta solution kwenye jamii yetu au ndio hi ambayo tunaona BODABODA wenye degree na vyeti visivyo na tija?
 
Kama umedhamiria kumpa mwanao elimu ya tofauti basi msomeshe international schools, hizi za hapa kwetu ni tuition za kingereza cha kujibia mitihani.
 
Mnapenda sana kupangia watu matumizi ya fedha zao
Endelea mkuu, ila kaa ukijua topic wanazosoma private na umma ni zilezile kwaio sion haja ya kumsomesha mtoto private nilipe fedha mingi. Wengi mnaangalia swala la idadi kubwa angalieni kichwani mtoto anapambana na sio kulishwa tu kila kitu
 
IMG_2939.jpg
 
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa.

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini?

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu.
Tafuta taarifa bro! Kama kwenye mitiani ya bongo tu, shule za kata, wanagalagala, zero kibao, wataweza kushindana huko duniani?
Vitabu, waalimu Bora, mazingira Bora ya kusomea,
Mtoto mmoja anatembea kilomita 3,shuleni vitabu hakuna, maktaba hakuna, waalimu wana mishahsra kuduchu 300K, hakuna msosi shuleni, waalimu wake wenye D flat,
Mwingine, Ana fatwa na gari, vitabu kibao, waalimu wana maslahi Bora, darasani wapo 20 tu, chakula kipo,
Bro usiwape mateso watoto!
 
Tafuta taarifa bro! Kama kwenye mitiani ya bongo tu, shule za kata, wanagalagala, zero kibao, wataweza kushindana huko duniani?
Vitabu, waalimu Bora, mazingira Bora ya kusomea,
Mtoto mmoja anatembea kilomita 3,shuleni vitabu hakuna, maktaba hakuna, waalimu wana mishahsra kuduchu 300K, hakuna msosi shuleni, waalimu wake wenye D flat,
Mwingine, Ana fatwa na gari, vitabu kibao, waalimu wana maslahi Bora, darasani wapo 20 tu, chakula kipo,
Bro usiwape mateso watoto!
Unauhakika na unachoongea shule za umma kwa sasa ziko powa kuna system ya kugawa vitabu kwa wanafunzi wote haijalishi ni wangapi.
Kuhusu mshahars private ndo hovyo ksbisa wanalipwa kidogo sana kama unabisha sema, kwanza hawatumii zile government scale za mishahara , mshahara unatolewa kwa makubaliano na mmliki wa shule. Wewe jidanganye eti mshahara mnono
 
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa.

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini?

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu.
Ikiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga!
 
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa.

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini?

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu.
Umeombwa mchango wa ada? Wamekuzuilia Nini wewe? Unapata hasara Gani jirani yako akimpeleka mwanae shule binafsi???
 
Back
Top Bottom