Mashilambah
Member
- Nov 13, 2011
- 39
- 6
kafulila ni JEMBE...X
Kwa sababu ulikua na mbatia eneo la tukio, ingependeza sana ungemuuliza kuwa ni ujumbe gani kaupata kwa hilo lililojiri.Nimekuwapo kwenye viwanja vya Karimjee katika kumuaga Shujaa wetu Mh. Regia Mtema. Ni viongozi wengi walikuwapo, kuanzia wa Serikali pamoja na Waziri Mkuu ni Makamu wa Rais. Pia Mawaziri, Wabunge, Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wakuu wa Majeshi ya Polisi, n.k n.k.
Kilichonishangaza ni pale yalipokuwa yanasomwa majina ya Wawakilishi wa vyama vya Siasa ambao watalipiwa na Ofisi ya Bunge na kwamba wameteuliwa na Bunge kuwakilisha kwenye Mazishi hayo huko Ifakara. Pamoja na Kutajwa majina ya Wabunge mbalimbali wa CCM na Upinzani, Viwanja viliripuka pale Jina la Kafulila lilipotamkwa kama mmoja wa Wabunge watakaoiwakilisha NCCR Mageuzi kwenye Maziko hayo.
Bado najiuliza, Je kushangiliwa kwa Mh. Kafulila, kulikuwa kunatoa Ujumbe gani kwa akina James Mbatia ambaye tulikuwa nae pale viwanjani?
Mwenye Macho haambiwi Ona!
we ***** kwenye mchango mzima umeona chadema tu? ama kweli haya ni matokeo ya kufikiria kwa kutumia down stairs.Magamba utamjua tu.Asipofitinisha chadema hapati amani