Kusema 'Nendeni Mkalifanyie Kazi' bila kuwa na KPIs kuna walakini

Augustine Moshi

JF-Expert Member
Apr 22, 2006
2,554
1,382
Mara nyingi tunasikia viongozi wakisema “nendeni mkafanye”. Hiyo haitoshi kuleta utekelezaji. Lazima kutoa KPI (Key Performance Indicator) na kufuatilia utekelezaji wake.

Kilicholeta maendeleo ya haraka China ni hivi: kila mtendaji anapangiwa KPI zake na wa juu yake anafuatilia. Ufanisi unapimwa, ukiwa umefanikisha unasonga mbele la sivyo unapisha nafasi. No stories, no excuses, just get it done.

Nimeona Makamu wa Rais amelalamika kwamba tunaagiza biskuti na sabuni nje. Akasema hilo ni kutumia fedha vibaya na kuwanyima Watanzania nafasi za kazi. Badala ya kuwapangia mawaziri husika KPI yeye akasema “nendeni mkalifanyie hilo kazi”. Those are not effective words. Nothing will happen.

Kuna hizi fedha za Uviko ambazo zimeelekezwa kwenye kujenga madarasa na vituo vya afya. Kutaja idadi ni mwanzo mzuri. Idadi halafu “nendeni mkalifanyie kazi” haitoshi. Rais na Waziri Mkuu wangepashwa kuagiza ma RC walete work plan za kila mkoa kufikia tarehe….. Na ma RC waagize DC kuleta GantChart ya utekelezaji wa ujenzi wa hayo madarasa 70 ya kila Jimbo kufikia tarehe…… na ma DC waagize kuletewa building plans za kila darasa na Watendaji kufikia tarehe…. etc.

Maneno ya kificho cha uvivu na uzembe (kama "mpango mkakati unaendelea" na "mchakato wa mpango mkakati" yakatazwe). Jiwe alikuwa na mapungufu yake lakini neno lake la “hapa kazi tu lilikuwa spot on”

Tumevurunda vya kutosha, sasa tuache maneno. Kama Makamu wa Rais anataka tuwe na viwanda vya biskuti na sabuni aache neno jepesi la “kalifanyieni kazi”. Aanze yeye kulifanyia kazi. Atoe DIRECTIVE nini hasa kifanyike na ni nani akifanye na kikamilike lini. Kila asiyeweza kufanikisha KPI zake aondoke tu, maana hakuna namna.

Maneno yangekuwa yanaleta maendeleo basi Waswahili wangekuwa wameendelea sana.

Naomba kumalizia kwa kuuliza: kuna mtu amewahi kuona GantChart ya ujenzi wa SGR au Bwabwa la Stiegler Gorge? Vinamalizika lini? Yaani hata Dar to Dodoma SGR bado treni haitembei? Si kuna umeme wake tayari, na sio kusubiri Stiegler Gorge? Tumechoka kuisikia hiyo SGR, sasa tunataka tuone treni ikitembea.
 
Kilicholeta maendeleo ya haraka China ni hivi: kila mtendaji anapangiwa KPI zake na wa juu yake anafuatilia. Ufanisi unapimwa, ukiwa umefanikisha unasonga mbele la sivyo unapisha nafasi. No stories, no excuses, just get it done
Mkuu, mbona tunazo KPI zetu hapa hapa Tanzania?

Wewe msikilize waziri mkuu, au waziri yeyote yule kama hutasikia wakisisitiza "Rais hiki, Rais kile". Kila kitu kinakwenda kwenye kumsifia Rais.

Wakishatimiza hiyo "KPI" uwepo wao kwenye vyeo wanavyoshikilia hakuna wa kutilia mashaka.

Mwisho wa "KPI" zetu ni kumsifu mteuzi wetu kama mungu vile. Hii nchi imekuwa ya kipuuzi kwelikweli. Fedha zote zilizomo nchini ni zake. Maendeleo yetu ni yeye kayashikilia bila ya yeye hatuwezi kuendelea.

Waziri Mkuu anafanya Ziara, watendaji wanatakiwa kutoa mrejesho wa kazi wanazosimamia, hawa wakieleza kukwamishwa na hao hao wakubwa, maelezo yao yanazimwa yasisikike kwa vile wanashtaki wasioweza kushtakiwa!

Ukimwangalia kwa umbo lake, kiongozi kama waziri mkuu huwezi kamwe kumdhania kuwa anaweza kuwa 'sycophant' kiasi anachojidhalilisha nacho. Hivyo hivyo na akina Kalamaganda Kabuti na wengi wengine.
 
Kilicholeta maendeleo ya haraka China ni hivi: kila mtendaji anapangiwa KPI zake na wa juu yake anafuatilia. Ufanisi unapimwa, ukiwa umefanikisha unasonga mbele la sivyo unapisha nafasi. No stories, no excuses, just get it done.
Hawa jamaa ni balaa mkuu 'Augustine Moshi'.
Mashirika yao sasa yanayochukua tender mbalimbali kila mahala duniani, hakuna kazi inayopitiliza muda iliyopangiwa kukamilika. Mara nyingi kazi inatimizwa kwa nusu muda uliopangwa. Mifano ni zile hospitali za acovid-19 zilizojengwa kwa muda wa wiki kadhaa tu China kwenyewe na Uingereza.

Hapa jirani yetu, Nairobi Express iliyokuwa imepangiwa kumalizika ndani ya miaka minne, sasa wanaijenga kwa nusu ya muda huo. Jamaa wanafanya kazi na usiku!
 
Naomba kumalizia kwa kuuliza: kuna mtu amewahi kuona GantChart ya ujenzi wa SGR au Bwabwa la Stiegler Gorge? Vinamalizika lini? Yaani hata Dar to Dodoma SGR bado treni haitembei? Si kuna umeme wake tayari, na sio kusubiri Stiegler Gorge? Tumechoka kuisikia hiyo SGR, sasa tunataka tuone treni ikitembea.
Mkuu 'Augustine Moshi', ulishapata jibu la hili swali?

Mada hii imekaa hapa tokea October 10, lakini angalia nini kimechangiwa hapa. Hii ni mada muhimu sana!
Inaonyesha wachangiaji wanavutiwa zaidi na mada za CCM na wapinzani, kuliko hizi ambazo ndio hasa tunazotakiwa kuziwekea umuhimu kwa maendeleo ya nchi yetu

Nami ningependa kujua SGR, kipande cha Morogoro na Dar es Salaam, kitakamilika lini? Mbona kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea? Hiki kipande kilitakiwa kuwa kimekamilika nadhani tokea mwaka jana, lakini siku hizi naona hata wanaona aibu kukizungumzia!

Magufuli, ubaya wake hauwezi kufutika, lakini kwenye mambo ya ufuatiliaji alikuwa mzuri sana. Wakati huu tungebahatika kumpata mtu mwenye sifa hiyo bila yale madudu mengine ya Magufuli, taifa lingefanikiwa sana. Kwani wakati ni huu hasa tunapotakiwa kuinuka kwa nguvu toka chini kwenda juu.

Huyu mama hatufikishi popote. Yeye ni mtu wa mipasho zaidi kuliko ufuatiliaji na kuhakikisha kazi imefanyika ipasavyo.
 
Mkuu 'Augustine Moshi', ulishapata jibu la hili swali?

Mada hii imekaa hapa tokea October 10, lakini angalia nini kimechangiwa hapa. Hii ni mada muhimu sana!
Inaonyesha wachangiaji wanavutiwa zaidi na mada za CCM na wapinzani, kuliko hizi ambazo ndio hasa tunazotakiwa kuziwekea umuhimu kwa maendeleo ya nchi yetu

Nami ningependa kujua SGR, kipande cha Morogoro na Dar es Salaam, kitakamilika lini? Mbona kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea? Hiki kipande kilitakiwa kuwa kimekamilika nadhani tokea mwaka jana, lakini siku hizi naona hata wanaona aibu kukizungumzia!

Magufuli, ubaya wake hauwezi kufutika, lakini kwenye mambo ya ufuatiliaji alikuwa mzuri sana. Wakati huu tungebahatika kumpata mtu mwenye sifa hiyo bila yale madudu mengine ya Magufuli, taifa lingefanikiwa sana. Kwani wakati ni huu hasa tunapotakiwa kuinuka kwa nguvu toka chini kwenda juu.

Huyu mama hatufikishi popote. Yeye ni mtu wa mipasho zaidi kuliko ufuatiliaji na kuhakikisha kazi imefanyika ipasavyo.
Ahahaha shida inaanzia kwa huyo mama sasa akili yake ndogo sana,yeye anachoweza ni unafiki,na viongozi wetu wengi hawawezi simamia ukweli hata robo,matumbo yao na maisha ya Deo
 
Mara nyingi tunasikia viongozi wakisema “nendeni mkafanye”. Hiyo haitoshi kuleta utekelezaji. Lazima kutoa KPI (Key Performance Indicator) na kufuatilia utekelezaji wake.

Kilicholeta maendeleo ya haraka China ni hivi: kila mtendaji anapangiwa KPI zake na wa juu yake anafuatilia. Ufanisi unapimwa, ukiwa umefanikisha unasonga mbele la sivyo unapisha nafasi. No stories, no excuses, just get it done.

Nimeona Makamu wa Rais amelalamika kwamba tunaagiza biskuti na sabuni nje. Akasema hilo ni kutumia fedha vibaya na kuwanyima Watanzania nafasi za kazi. Badala ya kuwapangia mawaziri husika KPI yeye akasema “nendeni mkalifanyie hilo kazi”. Those are not effective words. Nothing will happen.

Kuna hizi fedha za Uviko ambazo zimeelekezwa kwenye kujenga madarasa na vituo vya afya. Kutaja idadi ni mwanzo mzuri. Idadi halafu “nendeni mkalifanyie kazi” haitoshi. Rais na Waziri Mkuu wangepashwa kuagiza ma RC walete work plan za kila mkoa kufikia tarehe….. Na ma RC waagize DC kuleta GantChart ya utekelezaji wa ujenzi wa hayo madarasa 70 ya kila Jimbo kufikia tarehe…… na ma DC waagize kuletewa building plans za kila darasa na Watendaji kufikia tarehe…. etc.

Maneno ya kificho cha uvivu na uzembe (kama "mpango mkakati unaendelea" na "mchakato wa mpango mkakati" yakatazwe). Jiwe alikuwa na mapungufu yake lakini neno lake la “hapa kazi tu lilikuwa spot on”

Tumevurunda vya kutosha, sasa tuache maneno. Kama Makamu wa Rais anataka tuwe na viwanda vya biskuti na sabuni aache neno jepesi la “kalifanyieni kazi”. Aanze yeye kulifanyia kazi. Atoe DIRECTIVE nini hasa kifanyike na ni nani akifanye na kikamilike lini. Kila asiyeweza kufanikisha KPI zake aondoke tu, maana hakuna namna.

Maneno yangekuwa yanaleta maendeleo basi Waswahili wangekuwa wameendelea sana.

Naomba kumalizia kwa kuuliza: kuna mtu amewahi kuona GantChart ya ujenzi wa SGR au Bwabwa la Stiegler Gorge? Vinamalizika lini? Yaani hata Dar to Dodoma SGR bado treni haitembei? Si kuna umeme wake tayari, na sio kusubiri Stiegler Gorge? Tumechoka kuisikia hiyo SGR, sasa tunataka tuone treni ikitembea.
Mkuu Augustine Moshi , asante kwa hii, naunga mkono hoja, mimi nilikuwa kushauri tuwe na SMART objectives zenye short term objectives, medium term na long time objectives na kufanya MTR from time to time.

P
 
Katika nchi kama hii ambayo bado bajeti yetu wanaita kasungura, bajeti inategemea wafadhili toka 1961, nchi ambayo dola inajipanga kukaa gerezani na akina Mbowe, utarajie kufikiwa malengo? Sijaona kiongozi wa kutufikisha popote acha wamalize vipindi vyao labda mbele huko
 
Mara nyingi tunasikia viongozi wakisema “nendeni mkafanye”. Hiyo haitoshi kuleta utekelezaji. Lazima kutoa KPI (Key Performance Indicator) na kufuatilia utekelezaji wake.

Kilicholeta maendeleo ya haraka China ni hivi: kila mtendaji anapangiwa KPI zake na wa juu yake anafuatilia. Ufanisi unapimwa, ukiwa umefanikisha unasonga mbele la sivyo unapisha nafasi. No stories, no excuses, just get it done.

Nimeona Makamu wa Rais amelalamika kwamba tunaagiza biskuti na sabuni nje. Akasema hilo ni kutumia fedha vibaya na kuwanyima Watanzania nafasi za kazi. Badala ya kuwapangia mawaziri husika KPI yeye akasema “nendeni mkalifanyie hilo kazi”. Those are not effective words. Nothing will happen.

Kuna hizi fedha za Uviko ambazo zimeelekezwa kwenye kujenga madarasa na vituo vya afya. Kutaja idadi ni mwanzo mzuri. Idadi halafu “nendeni mkalifanyie kazi” haitoshi. Rais na Waziri Mkuu wangepashwa kuagiza ma RC walete work plan za kila mkoa kufikia tarehe….. Na ma RC waagize DC kuleta GantChart ya utekelezaji wa ujenzi wa hayo madarasa 70 ya kila Jimbo kufikia tarehe…… na ma DC waagize kuletewa building plans za kila darasa na Watendaji kufikia tarehe…. etc.

Maneno ya kificho cha uvivu na uzembe (kama "mpango mkakati unaendelea" na "mchakato wa mpango mkakati" yakatazwe). Jiwe alikuwa na mapungufu yake lakini neno lake la “hapa kazi tu lilikuwa spot on”

Tumevurunda vya kutosha, sasa tuache maneno. Kama Makamu wa Rais anataka tuwe na viwanda vya biskuti na sabuni aache neno jepesi la “kalifanyieni kazi”. Aanze yeye kulifanyia kazi. Atoe DIRECTIVE nini hasa kifanyike na ni nani akifanye na kikamilike lini. Kila asiyeweza kufanikisha KPI zake aondoke tu, maana hakuna namna.

Maneno yangekuwa yanaleta maendeleo basi Waswahili wangekuwa wameendelea sana.

Naomba kumalizia kwa kuuliza: kuna mtu amewahi kuona GantChart ya ujenzi wa SGR au Bwabwa la Stiegler Gorge? Vinamalizika lini? Yaani hata Dar to Dodoma SGR bado treni haitembei? Si kuna umeme wake tayari, na sio kusubiri Stiegler Gorge? Tumechoka kuisikia hiyo SGR, sasa tunataka tuone treni ikitembea.

Umeongea kitu cha maana sana mzee. Nimekuwa nikishangaa sana kuhusu hili jambo. Huwezi kumpa mtoto pipi halafu umwambie asilambe hiyo pipi. Lazima kuwepo na KPIs and benchmarks otherwise maelekrxo sijuhi ni ni useless
 
Ahahaha shida inaanzia kwa huyo mama sasa akili yake ndogo sana,yeye anachoweza ni unafiki,na viongozi wetu wengi hawawezi simamia ukweli hata robo,matumbo yao na maisha ya Deo
Si unawasikia akina Kassim Majaliwa wanavyoimba sasa kumhusu huyo mama?
Hatuwezi kamwe kwenda mbele na uongozi wa watu kama hawa wanaojali maslahi yao kuliko maslahi ya nchi.
 
Mkuu Augustine Moshi , asante kwa hii, naunga mkono hoja, mimi nilikuwa kushauri tuwe na SMART objectives zenye short term objectives, medium term na long time objectives na kufanya MTR from time to time.

P
Wakuu niwaulize mmekwenda site na kuona hizi kampuni hawana Programme of works? KPI's etc? Mimi nasubiri hizo treni zitue (BTW Covid-19 ndio imechelewesha hizo treni kufika .... .... I presume). Mwenye Info sahihi aweke hapa.

Kuhusu ''hilo nendeni mkalifanyie kazi'' Hapo WTZ tumeingia choo cha kike. Mwenyezi Mungu ndiye atatunusuru tu.
 
Jiwe aliamuru mtu yeyote ambaye hatakwenda site kwa sababu anaogopa Covid atimuliwe apelekwe mwingine. Covid haiwezi kuwa kisingizio kuchelewa kwa mradi wowote nchi hii.
Wakuu niwaulize mmekwenda site na kuona hizi kampuni hawana Programme of works? KPI's etc? Mimi nasubiri hizo treni zitue (BTW Covid-19 ndio imechelewesha hizo treni kufika .... .... I presume). Mwenye Info sahihi aweke hapa.

Kuhusu ''hilo nendeni mkalifanyie kazi'' Hapo WTZ tumeingia choo cha kike. Mwenyezi Mungu ndiye atatunusuru tu.
 
Mara nyingi tunasikia viongozi wakisema “nendeni mkafanye”. Hiyo haitoshi kuleta utekelezaji. Lazima kutoa KPI (Key Performance Indicator) na kufuatilia utekelezaji wake.

Kilicholeta maendeleo ya haraka China ni hivi: kila mtendaji anapangiwa KPI zake na wa juu yake anafuatilia. Ufanisi unapimwa, ukiwa umefanikisha unasonga mbele la sivyo unapisha nafasi. No stories, no excuses, just get it done.

Nimeona Makamu wa Rais amelalamika kwamba tunaagiza biskuti na sabuni nje. Akasema hilo ni kutumia fedha vibaya na kuwanyima Watanzania nafasi za kazi. Badala ya kuwapangia mawaziri husika KPI yeye akasema “nendeni mkalifanyie hilo kazi”. Those are not effective words. Nothing will happen.

Kuna hizi fedha za Uviko ambazo zimeelekezwa kwenye kujenga madarasa na vituo vya afya. Kutaja idadi ni mwanzo mzuri. Idadi halafu “nendeni mkalifanyie kazi” haitoshi. Rais na Waziri Mkuu wangepashwa kuagiza ma RC walete work plan za kila mkoa kufikia tarehe….. Na ma RC waagize DC kuleta GantChart ya utekelezaji wa ujenzi wa hayo madarasa 70 ya kila Jimbo kufikia tarehe…… na ma DC waagize kuletewa building plans za kila darasa na Watendaji kufikia tarehe…. etc.

Maneno ya kificho cha uvivu na uzembe (kama "mpango mkakati unaendelea" na "mchakato wa mpango mkakati" yakatazwe). Jiwe alikuwa na mapungufu yake lakini neno lake la “hapa kazi tu lilikuwa spot on”

Tumevurunda vya kutosha, sasa tuache maneno. Kama Makamu wa Rais anataka tuwe na viwanda vya biskuti na sabuni aache neno jepesi la “kalifanyieni kazi”. Aanze yeye kulifanyia kazi. Atoe DIRECTIVE nini hasa kifanyike na ni nani akifanye na kikamilike lini. Kila asiyeweza kufanikisha KPI zake aondoke tu, maana hakuna namna.

Maneno yangekuwa yanaleta maendeleo basi Waswahili wangekuwa wameendelea sana.

Naomba kumalizia kwa kuuliza: kuna mtu amewahi kuona GantChart ya ujenzi wa SGR au Bwabwa la Stiegler Gorge? Vinamalizika lini? Yaani hata Dar to Dodoma SGR bado treni haitembei? Si kuna umeme wake tayari, na sio kusubiri Stiegler Gorge? Tumechoka kuisikia hiyo SGR, sasa tunataka tuone treni ikitembea.
Watu wanajiandaa kupiga pesa hakuna namna hapo
 
Umeongea kitu cha maana sana mzee. Nimekuwa nikishangaa sana kuhusu hili jambo. Huwezi kumpa mtoto pipi halafu umwambie asilambe hiyo pipi. Lazima kuwepo na KPIs and benchmarks otherwise maelekrxo sijuhi ni ni useless
Huyu ndiyo alipaswa awepo bungeni siyo yale mazuzu yamejazana
 
Jiwe aliamuru mtu yeyote ambaye hatakwenda site kwa sababu anaogopa Covid atimuliwe apelekwe mwingine. Covid haiwezi kuwa kisingizio kuchelewa kwa mradi wowote nchi hii.
Kisingizio sio kwetu bali kwa waletaji/waundaji (Countries had not been producing because of lockdowns) chi unajua zinatoka mashariki ya mbali ... .... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom