Kusadikika

Anita Baby

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
1,265
539
Nijuzeni ni kipindi gani/wakati gani riwaya ya kusadikika iliandikwa? Ma2kio ya wakati huo yaliyoambatana na kusadikika
 
Shaaban Robert aliona mbali sana.
Matukio aliyoandika mule yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo kwa nchi zetu za Afrika hususani Tanzania.
 
mwnye soft copy atubandikie....................................
Hapana mkuu, tuunge mkono kazi za sanaa kwa kununua vitabu.
Kanunue kopi yako mkuu.
weosW9PFi+ZzgAAAABJRU5ErkJggg==
 
Hapana mkuu, tuunge mkono kazi za sanaa kwa kununua vitabu.
Kanunue kopi yako mkuu.
weosW9PFi+ZzgAAAABJRU5ErkJggg==

mmmh................. haya mkuu, naona umekuwa mkali kweli.................... ngoja basi nikirudi bongo nitajitahidi kujipigapiga .................
 
Back
Top Bottom