Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,544
- 51,284
Kwenye ushoga kuna uzima wa milele?Yesu hahubiri dini. Yesu anajihubiri mwenyewe. Yesu anahubiri uzima wa milele unaopatikana ndani yake, full stop.
Kwenye ushoga kuna uzima wa milele?Yesu hahubiri dini. Yesu anajihubiri mwenyewe. Yesu anahubiri uzima wa milele unaopatikana ndani yake, full stop.
Narudia tena kukuambia rc haijapigania Ukristo hata kidogo kwa sababu misingi yake na misimamo yake sio ya kikristo hata kidogo, kwa matendo rc na shetani watakua Wana undugu wa damu kabisa, usihusishe Ukristo na vitu vya hovyo kama rc 😡😡😡Rc itabaki kuwa kanisa mama la ukristo duniani,hii ibaki kuwa heshima yake kuu. Kanisa limeulinda na kuupigania ukristo hadi leo hii wewe umezaliwa ukawa mkristo,hakuna uchafu wowote ni vile kanisa limeamua kufungua mikono kupokea wenye dhambi.
Aliwafundisha kuacha ukahaba waokoke wafuate njia iliyokua sahihi hayo ndio mafundisho ya kristo, lakini kile kizee ambacho kinawaongoza wakatoliki na ndio kinatoa misimamo na mitazamo ya rc kinahalalisha ushetani badala ya kukemea, endeleeni kutetea siku sio nyingi mtaongozwa na mashoga kwenye hayo majengo yenuYesu kristo alikula na kunywa pamoja na makahaba unazungumziaje hili?
Hakuna padri wala askofu yoyote wa kumpinga Papa, sasa hivi kanisa lipo kwenye mikono ya Iluminati.Natamani kusikia mapadri na maaskofu wakimpinga papa kwa wingi ili ashindwe wa kumfukuza na mwisho wa siku papa ajiuzulu nafasi hiyo kwani imeanza kumpwaya
Miye sipo kwenye hizi dini,Kwamba huko kwingine wote mnao sali ni watakatifu ikiwepo wewe mkuu?
Yesu hajawahi kuhubiri ushoga. Ndiyo maana nawaambia achaneni na dini, njooni kwa Yesu. Yeye ni nuru wala kwake hakuna giza la namna yeyote ile.Kwenye ushoga kuna uzima wa milele?
Yesu hajawahi kuhubiri ushoga. Ndiyo maana nawaambia achaneni na dini, njooni kwa Yesu. Yeye ni nuru wala kwake hakuna giza la namna yeyote ile.
Hakuna ktiu hapa naona Mungu wanayemwamini anaenda na mabadiliko ya nyakati anabadilika. I was born in a Catholic family, sijawahi kukana wala kuhama dhehebu ila niliacha kuamini katika dhehebu langu toka nilipoanza kusoma na kujiuliza amswali ambayo hakuna ambaye aliwahi nipa majibu ya kueleweka.
Huyu papa huyu ... nahisi siku za mbele utatokea mpasuka kama wa anglican
Mungu ameumba wanawake na wanaume tu ,kwa kifupi sasa hv ushoga umeruhusiwa kwenye ukatoliki na hayo matamko yangekuwa yametolewa upande wa viongozi wa waislam kwamba dini imeruhusu hzo tabia humu server ya jf ingejaa matusi angetukanwa muhammad 24/7 hila sababu watukanaji limewakuta wenyewe kumekuwa kimyaaaNinachokijua ni kwamba viumbe vyooote, ikiwemo mashoga, vimeumbwa na Mungu. Na hua anasema anawapenda sana.
Kingine ninachokijua ni kwamba Mungu ni mjuzi na muweza wa vyote, hivyo ukiona anaruhusu jambo fulani kuwepo, basi ujue ana sababu zake za msingi sana zisizochunguzika. Kazi ya Mungu haina makosa.
Nakubaliana na Pope Francis....
Suala hapa si kukubali. Suala ni kuelewa. Ushoga na kubadilisha jinsia ni dhambi. Hawa watu walio kwenye hali hizi ni ndugu zetu. Matendo haya yamefanywa na yanafanya na ndugu zetu kwenye jamii zetu katika historia yote.Wewe utakubali mwanaume aliyemuoa mwanaume mwenzie awe baba wa ubatizo wa watoto wako?
Kama hilo huwezi na moyo unagoma, basi jua kuna tatizo kwenye maamuzi ya sasa ya kanisa!
Hujui chochote.Mungu hapendi mashoga na ushoga ndo maana aliangamiza Sodoma na gomora..msihalalishe upuuzi wenu.Ninachokijua ni kwamba viumbe vyooote, ikiwemo mashoga, vimeumbwa na Mungu. Na hua anasema anawapenda sana.
Kingine ninachokijua ni kwamba Mungu ni mjuzi na muweza wa vyote, hivyo ukiona anaruhusu jambo fulani kuwepo, basi ujue ana sababu zake za msingi sana zisizochunguzika. Kazi ya Mungu haina makosa.
Nakubaliana na Pope Francis....
Wasabato walikuwa zaman enzi hizo lazma bint au mama uvae sket au gaun la marinda n.a kijana au baba surual iwe na linda kwenye mkanda mguu kipomo nchi 10 mpaka 14.....weng miiko yao wanaivunja....huu ni wakat ambao anguko la makanisa linakuja kwa kas.....!!!Huwezi kuukuta huu ujinga kwa wasabato.
Kwa hali hii sitashangaa kuona wanaume wengi wanasilimu kuwa waislamu, Ukristo unatusaliti mbele ya macho yetu hasa waafrika kwa kiongiza mambo yaliyo kinyume kabisa na mila zetu.Wasabato walikuwa zaman enzi hizo lazma bint au mama uvae sket au gaun la marinda n.a kijana au baba surual iwe na linda kwenye mkanda mguu kipomo nchi 10 mpaka 14.....weng miiko yao wanaivunja....huu ni wakat ambao anguko la makanisa linakuja kwa kas.....!!!
Kama unalitegemea kanisa uUTAVUTWA TU na kama tumaini lako lipo kwa Mungu UTAPONA
🤣🤣🤣Anaruhusu???Ninachokijua ni kwamba viumbe vyooote, ikiwemo mashoga, vimeumbwa na Mungu. Na hua anasema anawapenda sana.
Kingine ninachokijua ni kwamba Mungu ni mjuzi na muweza wa vyote, hivyo ukiona anaruhusu jambo fulani kuwepo, basi ujue ana sababu zake za msingi sana zisizochunguzika. Kazi ya Mungu haina makosa.
Nakubaliana na Pope Francis....
Ukiangalia clip nyingi za wanasili si wanaume tu hata wanawake wanaslimu sana hasa ughaibuniKwa hali hii sitashangaa kuona wanaume wengi wanasilimu kuwa waislamu, Ukristo unatusaliti mbele ya macho yetu hasa waafrika kwa kiongiza mambo yaliyo kinyume kabisa na mila zetu.
Ukristoni wengi wataobaki ni wanawake, hawa ndio wanajaza hadi makanisa ya kina Masanja, huwezi mkuta mwanaume mwenye akili zake anaenda kanisa la Masanja,