LGBT is an initialism that stands for lesbian, gay, bisexual, and transgender. In use since the 1990s, the initialism, as well as some of its common variants, functions as an umbrella term for sexuality and gender identity.It may refer to anyone who is non-heterosexual or non-cisgender, instead of exclusively to people who are lesbian, gay, bisexual, or transgender. To recognize this inclusion, a popular variant, LGBTQ, adds the letter Q for those who identify as queer or are questioning their sexual or gender identity.
Chanzo ni sio bbc wala Aljazeera, ni makao makuu ya kanisa katoliki nchini Vatican kwenye kwenye maktaba ya Idara ya Mafundisho ya Imani >> Dicastery for the Doctrine of the Faith << title imeandikwa 3 November 2023.
Tamko liliandaliwa na Idara ya mafundisho ya imani kisha Papa Francis...
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.
Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua...
Chawa walikuja na mbwembwe kwamba karejesha uhuru wa habari na kujieleza. Hila kiuhalisia anadidimiza uhuru wa kujieleza.
Juzi kati Ney Wamitego aliachia ngoma yake, ambayo badae akaitwa BASATA akaitwa na Polisi. Siku kadhaa zimepita Dada wa kule mbeya naye akaachia kibao chake "Mnatuona...
Washindi mara nne wa Kombe la Dunia walitoka katika hatua ya makundi nchini Qatar
Kuondolewa mapema kwa Ujerumani kutoka kwenye Kombe la Dunia la FIFA nchini Qatar ni "kufeli sana" kwa taifa hilo, kulingana na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Urusi Valery Gazzaev. Alishutumu wachezaji wa...
Hii sheria inapitishwa miongoni mwa malengo ni kulinda watoto juu ya kuathiriwa na maswala yanayohusiana na LGBT nchini Urusi.
Tumeona nchi kama Belarus wangese wamepigwa marufuku kabisa.
Tukumbuke pia tokea hii operation ianze LGBT walikua wakipiga vita Urusi na kufikia kuchoma hata bendera...
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.
Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.
"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya...
Abuu Kauthar
Nianze kwa kuelezea uzoefu wangu katika maisha wa kukutana na kuwajua mashoga. Nianze kwa kuomba msamaha kwa jina hilo kwani sina hakika kama ni rasmi na linakubalika kwao.
Nimepata kujuana na mashoga watano. Najua kuna makundi mengi katika hao wanaojitambulisha kama jamii ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.