Yutong na kibajaji, huu ni uonevu.
Ukweli wa mambo zitto anakosa sifa moja tu ya umri, dr slaa anayo sifa ya umri unaoruhusiwa na katiba inayoelekea ukingoni zilizobaki wote wanazo, kuna mambo mengine sioni kama yana uhusiano sana na urais, uzinzi, uasherati na umalaya ni tabia karibu za wanaume wote, hekima na busara nyie wenyewe mnajua, uwezo wa kujenga hoja mjengoni wengi tumekuwa mashahidi kwenye hili, tuliona zama za slaa tukaona zama za kabwe, hawa jamaa wote ni majembe, kusema nani bora wengi wenu mnaangukia kwenye chuki za udini na ukabila camooon watanzania wapi mnaelekea huko?
si ajabu ndo kaanzisha uzi huunimepiga kura yangu si kwamba nafurahia uzi huu, bali ni kuonesha kuwa huwezi kulinganisha mlima na kichuguu.
pili si wakati muafaka wa kujadili mambo kama haya. huyu dogo (nyepesi)nimeanza kumtilia mashaka kama hajanunuliwa na magamba.
Mshangao wangu mimi ni kwa nini Zitto anapendwa sana na Pro-CCM? Kwamba wanaitakia mema CHADEMA au? Na Zitto ajiulize kwa nini Vijana wengi sasa hivi wanamchukia kuliko ilivyokuwa mwaka 2007 alipoibuka na hoja ya Buzwagi?
TUMBIRI (Upanga, Dar es Salaam),
tumbiri@jamiiforums.com
Mimi siwezi kutoa maoni.....kumuweka dr.slaa na zitto kishoka nadhani ni dharau sana......zitto hajafika hata robo ya dr.slaa kwa hiyo kura ya maoni ni dharau kwa kiongozi mwenye heshima km dr.slaa.....sijui labda zitto umshindanishe na shibuda ingefaa kwani hata kwa mnyika au lema haingii
tuacheni dharau kwa rais wetu