Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,100
- 313
Je Rais na PM watatangaza lini kuhusu hatua ya sirikali kuwapigia kura ya maoni MAFISADI? Kwa sababu vyombo vya dola vimeshindwa kuwakamata hawa mafisadi kama ilivyo kwa wauaji wa maalbino, natumaini imefika wakati sasa sirikali kutangaza mpango wa KURA YA MAONI KWA MAFISADI. Najua mpango huu utatumia "BILLIONI 3 KWA KILA MKOA NA DAR KUTUMIA BILLIONI 40" lakini nafikiri WANANCHI WAKO TAYARI KWA MPANGO HUU.