Kura ya maoni kuhusu muundo wa muungano na katba mpya

watanganyika nimemsikiliza sheh farid anasema anahitaji support yenu ya kudai tanganyika sasa nyinyi kwanin mumelala kudai tanganyika yenu au hamuna historia?
 
Zanzibar ni dola kamili na mihimili yake yote mitatu, Mahakama, Serikali na Bunge. Hivi wao sasa wanalalama nini, bara ndio waliokuwa hawana kitu. Nafikiri Zanzibar wangeshughulikia serikali ya Tanganyika, Badala ya kuzungumzia kuvunja muungano.

Fredrick Sanga

Kuna uzi huu https://www.jamiiforums.com/habari-...hati-za-muungano-ndio-hizi-2.html#post3971657

Huyu jamaa ametoa wazo la Tanganyika (Tanzania bara) ikubali kuwa dola kamili. Hili wazo likitekelezwa huenda Muungano akaimarika.

Wazo lake, anataka Tanganyika iwe dola kamili kama Zanzibar kwa miaka 48 ili ipate faida ya Muungano. Pia anashauri Zanzibar ifutike,ipotee kama ilivyopotea Tanganyika badala yake iwe ndio Tanzania.

Mimi nilipolisoma wazo lake nilipata tabasamu, nilielewa na kutanabahi kuwa kero za Muungano zinaweza kupatiwa suluhisho na njia za kuuenzi Muungano wa Tz zipo na pande zote za Muungano zitafurahia Muungano na kuona faida ya Muungano.

Changamoto ndio imetolewa hiyo, tuwahimize wabunge wetu makini akina Zitto, Mnyika, Mbowe, Shibuda , na hata wale wa CCM wanaotaka kuuenzi Muungano walifanyie kazi wazo hili (changamoto iliyotolewa).

Mzee Mwanakijiji juzi ametangaza rasmi kuwa kero za Muungano hazitatuliki, nafikiri alikurupuka. Katika watu wote wanaotetea Muungano. Mzee mwenzangu juzi alimwaga manyanga, alitamka Muungano uvunjwe.

Mwalimu alitoa rai kuwa itakapoanzishwa tena jumuiya ya Afrika Mashariki basi Tanzania iwe na serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar
(“Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika ..." Uk 11 .link ya kitabu hii Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere) )


Lakini hii rai ya mdau nafikiri ni bora kuliko rai ya Mwalimu. Kuna msemo wa kiswahili usemao, "Mchawi, mpe mtoto alee". Tuwabebeshe dhamana Zanzibar kwa miaka hata 20 tu sio 48 ili na wao waone ugumu na raha za kulea Muungano.
 
Hii ni hoja nzito sana.

Fredrick Sanga

Kuna uzi huu https://www.jamiiforums.com/habari-...hati-za-muungano-ndio-hizi-2.html#post3971657

Huyu jamaa ametoa wazo la Tanganyika (Tanzania bara) ikubali kuwa dola kamili. Hili wazo likitekelezwa huenda Muungano akaimarika.

Wazo lake, anataka Tanganyika iwe dola kamili kama Zanzibar kwa miaka 48 ili ipate faida ya Muungano. Pia anashauri Zanzibar ifutike,ipotee kama ilivyopotea Tanganyika badala yake iwe ndio Tanzania.

Mimi nilipolisoma wazo lake nilipata tabasamu, nilielewa na kutanabahi kuwa kero za Muungano zinaweza kupatiwa suluhisho na njia za kuuenzi Muungano wa Tz zipo na pande zote za Muungano zitafurahia Muungano na kuona faida ya Muungano.

Hii ni hoja nzito sana, Kama hata JK 1st aliona hiyo basi.

Changamoto ndio imetolewa hiyo, tuwahimize wabunge wetu makini akina Zitto, Mnyika, Mbowe, Shibuda , na hata wale wa CCM wanaotaka kuuenzi Muungano walifanyie kazi wazo hili (changamoto iliyotolewa).

Mzee Mwanakijiji juzi ametangaza rasmi kuwa kero za Muungano hazitatuliki, nafikiri alikurupuka. Katika watu wote wanaotetea Muungano. Mzee mwenzangu juzi alimwaga manyanga, alitamka Muungano uvunjwe.

Mwalimu alitoa rai kuwa itakapoanzishwa tena jumuiya ya Afrika Mashariki basi Tanzania iwe na serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar
(“Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika ..." Uk 11 .link ya kitabu hii Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere) )


Lakini hii rai ya mdau nafikiri ni bora kuliko rai ya Mwalimu. Kuna msemo wa kiswahili usemao, "Mchawi, mpe mtoto alee". Tuwabebeshe dhamana Zanzibar kwa miaka hata 20 tu sio 48 ili na wao waone ugumu na raha za kulea Muungano.
 
Mimi nina ndugu kabisa huko zanzibari, na wadogo zangu wameoa huko. Sioni haja ya kuvunja muungano, ila kuujadili na kuuimarisha. Hii mambo ya Muamusho ni hovyo kabisa.

Wewe kwani umeambiwa ukivunjwa muungano na hao walooa na kuolewa wataachana?!fikiri kabla ya kucma?what kind of man are u?
 
Watu kama nyie mko wachache, mnaelewa mambo haya vizuri. Wengine wamekazania gharama tu. Je gharama za kukosa Tanganyika?

It doesn't matter.nani alokwambia km mutaikosa hio tanganyika yenu.hebu tulieni kidogo mupumue!
 
Zanzibar ni dola kamili na mihimili yake yote mitatu, Mahakama, Serikali na Bunge. Hivi wao sasa wanalalama nini, bara ndio waliokuwa hawana kitu. Nafikiri Zanzibar wangeshughulikia serikali ya Tanganyika, Badala ya kuzungumzia kuvunja muungano.

Nyie hayo ambayo hamuna hamkuyataka na ndio njia moja ya kuendeleza unyonyaji!mpo wapi nyinyi?
 
Mimi nina ndugu kabisa huko zanzibari, na wadogo zangu wameoa huko. Sioni haja ya kuvunja muungano, ila kuujadili na kuuimarisha. Hii mambo ya Muamusho ni hovyo kabisa.

Kwani lazima wanandoa wote wawe wa nchi moja? mbona kuna watanzania wengi tu wameoa au kuolewa na wasio watanzania? Muungano ukivunjika ni wajibu wa waliooana kuamua wawe upande upi wa nchi? kama mtu unaipenda nchi kuliko ndoa yako au familia yako basi waache uwe raia wa upande unaoupenda.

Maisha popote Watanyika walioko Zanzibar wanaweza kurudi Tanganyika na wakaendelea tu na maisha. Au wakabaki Zanzibar na kuishi kama wahamiaji.
 
Kwani lazima wanandoa wote wawe wa nchi moja? mbona kuna watanzania wengi tu wameoa au kuolewa na wasio watanzania? Muungano ukivunjika ni wajibu wa waliooana kuamua wawe upande upi wa nchi? kama mtu unaipenda nchi kuliko ndoa yako au familia yako basi waache uwe raia wa upande unaoupenda.

Maisha popote Watanyika walioko Zanzibar wanaweza kurudi Tanganyika na wakaendelea tu na maisha. Au wakabaki Zanzibar na kuishi kama wahamiaji.

unajua kuwa Mombasa ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar mpaka 1963 , na kuna watu wengi wa huko walioana na wazanzibari ?? jee mbona huo muungano haupo ?? Karume ni mzaliwa wa Nyasa na amekuwa Rais Zanzibar na ameowa Zanzibar mbona

huo muungano haupo ??? kuna wajaluo Kenya na Wajaluo Tanganyika mbona hamuungani?? kuna wamasai Kenya na Tanganyika mbona huo muungano hamuungani huko ??
 
Mimi nina ndugu kabisa huko zanzibari, na wadogo zangu wameoa huko. Sioni haja ya kuvunja muungano, ila kuujadili na kuuimarisha. Hii mambo ya Muamusho ni hovyo kabisa.

"siku zote inasemwa wazi jamaa msipindishe maneno, muungano tunaotaka kuuvunja sisi waZanzibari sio ule wa KIJAMII!! huo hauwezi kuvunjika kamwe. sisi tunataka kuuvunja muungano wa ki DOLA/SIASA. tunataka mamlaka yetu kamili nanyi Tanganyika muwe na mamlaka yenu kamili. mimi nina ndugu zangu wameowa na kuzaa europe, je tumeungana nao kule?" Muungano waZanzibari HATUUTAKI!!"

 
unajua kuwa Mombasa ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar mpaka 1963 , na kuna watu wengi wa huko walioana na wazanzibari ?? jee mbona huo muungano haupo ?? Karume ni mzaliwa wa Nyasa na amekuwa Rais Zanzibar na ameowa Zanzibar mbona

huo muungano haupo ??? kuna wajaluo Kenya na Wajaluo Tanganyika mbona hamuungani?? kuna wamasai Kenya na Tanganyika mbona huo muungano hamuungani huko ??

"tatizo ndugu zetu wanafanya hawatufahamu. jamani tueleweni!! tulikuwa nchi mbili tofauti kabla ya 1964, sasa imefika wakati wa Zanzibari tunasema muungano basi na ukatike, kila mtu awe na mamlaka yake kamili tubakie na ujirani mwema (kama mnautaka) otherwise POTELEA POTE!! watu wanasahau kwani kabla ya muungano huu feki Zanzibar ilikuwa ikijiendesha vipi hata leo tushindwe"
 
Kwanza nisiwe mchoyo wa fadhila nampongeza sana mtoa dukuduku na anaonekana nimuelewa wa mambo mengi sana na nimpenda watu na mpenda usawa,katika suali kuhusu kura ya maoni, kwa maoni yangu kwanza ni tendo la kikatiba kwa maana kwamba katiba ya Zanzibar inawaruhusu wazanzibari kufanya kura ya maoni kwa mambo yote ambayo yatahusu muungano,kwa msimamo wa wazanzibari wao kwanza ni nchi yao katiba baadae kwa sababu wanahakika katiba itakayoundwa bado haitoitendea haki zanzibar, kwa mfano sirahisi katiba inayokuja kuruhusu Zanzibar kuendelea kudai kiti chao Umoja wa Mataifa walichokipoteza baada ya muungano,kwani itakuwa vigumu kwa tanganyika kuanza kutafuta na wao uanachama na historia inaonyesha kuwa Zanzibar ilikuwa na kiti chake huko.Aidha wazanzibari kwa kiasi kikubwa naamini kuwa hila alizozitumia Mwalimu Nyerere katika Muungano bado zitaendelea kujirudia .Historia ya Zanzibar ndiyo inayowasuta na kuwalaumu kwa nini wasitetee ncci yao hali faida ya muungano kwa Zanzibar bado haionekani,kwa bahati hata viongozi husika wa muungano hawana jibu la kuwapa wazanzibari kwa mfano jana tarehe 16/6/2012 nilihudhuria moja ya mkotano uliofanyika Morogoro katika kiwanja cha kichangani, ambapo waziri anaehusika na muungano alipokaribishwa kuueleza umma faida za muungano alisema miongoni mwa faida nikuwa Watanganyika sasa wanaelewa namna ya kupika urojo,ivi huku sikuonesha kuwa hata wao hawajui faida za muungano?,chengine alisema yeye alisoma Mzumbe hivo lau simuungano ingebidi kusoma kwao Zanzibar;suali la msingi kwani kuna tatizo gani kwa yeye kusoma kwao Zanzibar?.
 
  • Kwanza nisiwe mchoyo wa fadhila nampongeza sana mtoa dukuduku na anaonekana nimuelewa wa mambo mengi sana na nimpenda watu na mpenda usawa,katika suali kuhusu kura ya maoni, kwa maoni yangu kwanza ni tendo la kikatiba kwa maana kwamba katiba ya Zanzibar inawaruhusu wazanzibari kufanya kura ya maoni kwa mambo yote ambayo yatahusu muungano,kwa msimamo wa wazanzibari wao kwanza ni nchi yao katiba baadae kwa sababu wanahakika katiba itakayoundwa bado haitoitendea haki zanzibar, kwa mfano sirahisi katiba inayokuja kuruhusu Zanzibar kuendelea kudai kiti chao Umoja wa Mataifa walichokipoteza baada ya muungano,kwani itakuwa vigumu kwa tanganyika kuanza kutafuta na wao uanachama na historia inaonyesha kuwa Zanzibar ilikuwa na kiti chake huko.Aidha wazanzibari kwa kiasi kikubwa naamini kuwa hila alizozitumia Mwalimu Nyerere katika Muungano bado zitaendelea kujirudia .Historia ya Zanzibar ndiyo inayowasuta na kuwalaumu kwa nini wasitetee ncci yao hali faida ya muungano kwa Zanzibar bado haionekani,kwa bahati hata viongozi husika wa muungano hawana jibu la kuwapa wazanzibari kwa mfano jana tarehe 16/6/2012 nilihudhuria moja ya mkotano uliofanyika Morogoro katika kiwanja cha kichangani, ambapo waziri anaehusika na muungano alipokaribishwa kuueleza umma faida za muungano alisema miongoni mwa faida nikuwa Watanganyika sasa wanaelewa namna ya kupika urojo,ivi huku sikuonesha kuwa hata wao hawajui faida za muungano?,chengine alisema yeye alisoma Mzumbe hivo lau simuungano ingebidi kusoma kwao Zanzibar;suali la msingi kwani kuna tatizo gani kwa yeye kusoma kwao Zanzibar?.
 
Wanaobeza juhudi zA WAZANZIBARI KATIKA KUJINASUA NA MUUNGANO NA KUTUMA LAWAMA KWA WAZANZIBARI BADO HAWAJAELEWA NIVYEMA KUENDELEA KUWAELEZA NINI DHAMIRA YA WAZANZIBARI.AIDHA NAWASHAURU WASOME VITABU VIFUATAVYO;1.KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU CHA MOHAMMED SAID,THE DARK SIDE OF NYERER LEGACY N.K
 
Back
Top Bottom