AiseeNdio hapa nashangaa, mbona napata shida sana
Postpaid unipunguzie kasi nlionunua Napeleka mtandao MahakamaniNdio hapa nashangaa, mbona napata shida sana
unatumia mtandao gani? Voda ipo sawaMda huu simu yangu imeanza kulegalega kufanyakazi ninapo washa data ,ina maana TCRA mmeamua kutukomesha watu wote tusiwasiliane ,tusifanye biashara,tusipate elimu,tusipate habari,tusipate matibabu,na burudani za michezo ya hapa hapale ???
Tanzania kunavuja sana sana.Mvua kwa tz tu ,mbona nchi zingine hakuna shida hiyo??
Waitege vizuri😆Wamesha kwama ,waachie tu ipenye
Mi nipo njiani nakuja DarMda huu simu yangu imeanza kulegalega kufanyakazi ninapo washa data ,ina maana TCRA mmeamua kutukomesha watu wote tusiwasiliane ,tusifanye biashara,tusipate elimu,tusipate habari,tusipate matibabu,na burudani za michezo ya hapa hapale ???
Tigo ilikuwa slow mno.. inasoma 5G lakini speed ya kobe.
Voda iko kawaida..