Ninafikiri ingekuwa jambo la busara kama mitandao ya simu ingeunga mkono hili jambo kwa kufanya utaratibu wa kutuma sms -kupigia kura vivutio vyetu kwa sababu kwa mtandao pekee itakuwa ngumu kushinda kwani walio na acess ya mtandao ni wachache,kama kutakuwa na namba ya sms ninahakika kura zitakuwa nyingi.Nawasilisha na naomba kusahihishwa kama sijaiweka sawa.:A S 465: