Kupiga Kura Siku ya Jumapili imekaaje?

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Wakuu,kwa nini kila chaguzi unafanyika siku ya Jumapili?Tume kwa kushirikiana na serikali wangepanga katikati ya wiki ila iwe siku ya mapumziko katika eneo husika.J2 watu waende kanisani,wapike,wafue na wengine wanapumzika.Ndio maana Arumeru wanalalamika watu wachache sana vituoni.
 
Mkuu unatafuta maneno. Watakuja wehu hapa watakuambia unaongozwa na mfumo Katoliki.
Besides, wanaharakati wa ile dini wanajipanga kupigania IJUMAA iwe siku ya mapumziko. Hili litafanyika mchakato wa katiba mpya utakapoanza
 
Amini nawwambia, hata ingekuwa kupiga kura ni siku ya Jumatatu bado watu mngelalamika tuu.
 
Wakuu,kwa nini kila chaguzi unafanyika siku ya Jumapili?Tume kwa kushirikiana na serikali wangepanga katikati ya wiki ila iwe siku ya mapumziko katika eneo husika.J2 watu waende kanisani,wapike,wafue na wengine wanapumzika.Ndio maana Arumeru wanalalamika watu wachache sana vituoni.
yani mkuu ndo mwisho wako wa kufikiri kweli umefikia apo? pole sana, bac tufanye j3 unaonaje?
 
Wakuu,kwa nini kila chaguzi unafanyika siku ya Jumapili?Tume kwa kushirikiana na serikali wangepanga katikati ya wiki ila iwe siku ya mapumziko katika eneo husika.J2 watu waende kanisani,wapike,wafue na wengine wanapumzika.Ndio maana Arumeru wanalalamika watu wachache sana vituoni.


Mkuu hili suala linazungumzika. Kwangu mimi si sahihi kufanya uchaguzi siku ya jumapili hasa uchaguzi mkuu. Siku ya jumapili ni siku ya mapumziko na pia ni siku ambayo wakristo wengi huenda kwenye ibada. kwa mfano leo imeangukia siku ya jumapili ya matawi ambapo hata wale ambao huwa hatuendi kanisani leo hujitutumua na kujihudhurisha pamoja na siku ya pasaka na krismas. Ni vyema ikawa siku ya kazi na isiwe ijumaa pia.
Rev. hilo la Ijumaa kuwa siku ya mapumziko pia linaweza kuzungumzika. Tutajiuliza ni kwa nini tulizifanya jumamosi na jumapili kuwa siku za mapumziko ilhali wenzetu wa kule mashariki ya. ya kati Ijumaa huwa siku ya mapumziko. Kutokana na religion profile ya nchi yetu nadhani kuna siku kweli jamaa nao watadai na watakuwa na haki kufanya hivyo.
 
ridiculous....
Kuna wengine hapa hatuangukii ijumaa wala jumapili na sisi mtatupeleka wapi?
Watu mnakuwa hypesensitive unnecessarily
 
ridiculous....
Kuna wengine hapa hatuangukii ijumaa wala jumapili na sisi mtatupeleka wapi?
Watu mnakuwa hypesensitive unnecessarily

j2 poa tu. muda unatosha kuanzia saa moja hadi kumi
 
Iwe J2 au Ijumaa au J3 au siku nyingine yoyote, kupiga kura sioni taabu twaweza kupiga kura siku yoyote, lakini taabu ni wezi wa kura kama kubadili siku kutakuwa kumewakomesha wezi wa kura basi hiyo siku itakuwa pia siku yetu ya mapumziko maana uadilifu utakuwa umepatikana.
Kwa suala la kupumzika j1 na j2 na badala yake au tufanye Alhamisi na Ijumaa au Ijumaa peke yake au siku nyingine yoyote, bado linazungumzika, lakini ukweli unabaki kuwa hatuwezi kupata siku itakayoridhisha wote maana wengine wana blue monday na wengine huenda mungu wao anawaambia wapumzike j5 au wengine siku nyingine. La muhimu ni kila mmoja kuheshimiwa ktk dini yake, lakini heshima haitokani na siku ya mapumziko bali waamini wa dini husika kujihusisha na dini yao kwa uhuru bila kuzuiliwa ambalo nadhni kama ni demokrasia katika hili TZ hatuna shida. Vinginevyo kudhania kuwa tukipumzika ndiyo dini yetu inapata heshima zaidi, tutakuwa waongo tu maana heshima ni sisi wenyewe wa dini fulani kuheshimu na kujitahidi kuenzi dini zetu bila kuathiri dini za wengine
 
Ndio siku muafaka kabisa maana ndio siku ya mapumziko hivyo basi kula mmoja anapata nafasi ya kwenda kupiga kura kwani huko kusali ni kutwa nzima ?
 
.
Kama ni wingi basi wanaoabudu jumapili bado watashinda coz ndo wengi..!

Inawezekana mkuu lakini ujue wenzetu wanakujaga na ile hoja ya kwamba wao wanaongezeka kwa.kaasi kwa kuwa baba mmoja anaweza kuoa aroba na hao aroba kil mmoja akizaa watatu basi baba mmoja atakuwa na 12! Sisi mtu mmoja mtu mmoja ukifuata wa mpango basi unaweza kuishia 4!
 
Mkuu unatafuta maneno. Watakuja wehu hapa watakuambia unaongozwa na mfumo Katoliki.
Besides, wanaharakati wa ile dini wanajipanga kupigania IJUMAA iwe siku ya mapumziko. Hili litafanyika mchakato wa katiba mpya utakapoanza


Waislamu hawahitaji siku ya mapumziko ila MUDA WA KUSALI IJUMAA from 12-2pm period

Hayo ya siku ya mapumziko umesema wewe mgalatia mwenye chuki na uislam
 
Back
Top Bottom