Wakuu,kwa nini kila chaguzi unafanyika siku ya Jumapili?Tume kwa kushirikiana na serikali wangepanga katikati ya wiki ila iwe siku ya mapumziko katika eneo husika.J2 watu waende kanisani,wapike,wafue na wengine wanapumzika.Ndio maana Arumeru wanalalamika watu wachache sana vituoni.