bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Jamaa kaingia Bar; Jamaa: "Muhudumu, nipe
kinywaji na
mpe kila mtu humu ndani
kinywaji,
maana wakati napata
kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji." Haraka sana
muhudumu akagawa
vinywaji, Jamaa: "Muhudumu nipe supu
na kila
mtu humu ndani mpe supu
maana
ninapokunywa supu kila mtu
lazima anywe supu." Watu wakapewa supu
tena safari hii wakapiga
makofi. Jamaa: "Muhudumu nipe bili,
na kila mtu
humu ndani mpe bili maana
wakati
nalipa bili yangu kila mtu
lazima alipe yake." Zogo lilianzia hapo sasa
kinywaji na
mpe kila mtu humu ndani
kinywaji,
maana wakati napata
kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji." Haraka sana
muhudumu akagawa
vinywaji, Jamaa: "Muhudumu nipe supu
na kila
mtu humu ndani mpe supu
maana
ninapokunywa supu kila mtu
lazima anywe supu." Watu wakapewa supu
tena safari hii wakapiga
makofi. Jamaa: "Muhudumu nipe bili,
na kila mtu
humu ndani mpe bili maana
wakati
nalipa bili yangu kila mtu
lazima alipe yake." Zogo lilianzia hapo sasa