Kupatwa kwa jua ni ishara ya Mungu kumkubali Rais Magufuli

Marko 7;13...tena mwalitangua neno la Mungu huku mkiweka mapokeo yenu mliyopokeana...
 
Basi angalau tuwe hata na elimu ya vitabu vitakatifu ili tusijitafutie laana kwa Mungu aaiyefananishwa na kitu chchote na hapendi kabisa.
 
hajui jiografia uyo anaropoka yaani viongozi wamekuwa waajabu kweli utadhani hawajaenda shule.kupatwa kwa jua sio kama.masuala ya kaka kuona hapa,hiyo ni jiografia na mabadiriko ya kawaida tu kupatwa kupo tu na hapa nchini utokea kila baada ya miaka 15 na.mara ya mwisho ilikuwa 2011 mwezi 3 maeneo ya Iringa kama sijakosea.Nafasi hizi za uteuzi kwa kujikomba zitawamaliza wazee wetu na vijana
 
Ni kweli lakini kwanini kwa utawala wa JPM? Mungu kaamua kuielekeza hiyo elimu wakati wa utawala wa rais chaguo lake
Hata kama Rais angekuwa jiwe,tukio hili bado lingetokea!Unavyowaza ni sawa na wale mabàbu zetu waliokuwa wakiona ndege angani wanajua ni hasira za mizimu,wanaenda kuchinja ng'ombe kuomba balsa lisiwaangukie!Kumbe ni teknolojia na sayansi!Afadhali hao kwasababu ilikuwa kitu kigeni kwao hivyo wakatafuta majawabu mepesi wakaona mizimu ndio inahusika!
Ni aibu kwa mtu karne hii anatumia kabisa na simu anashindwa kuelewa kupatwa kwa jua ni matokeo ya mzunguko wa dunia na mwezi kulizunguka jua!Tukio hili linatabirika kutokea na inatabiriwa itatokea tena baada ya miaka 15!
Aisee unatia aibu
 
Somo la sayansi kwa nchi zetu hizi zinazoishi pre scientific era kimwenendo lingekuwa lazima kwa kila raia hasa viongozi
 
Wenzetu wa Korea hii kitu ni ishara na mwanzo mpya wa Tawala na Himaya zao toka enzi.
Sisi huku tunabeza, lakini huo ndio ukweli kuwa sasa Tanzania mpya ya Viwanda inakuja Sambamba na mageuzi makubwa ya kimfumo, kisiasa, kifikra na technologia.
Wanasiasa wasione haya /gere ya kuwahiwa na wenzao katika kuwatakia mwanzo mpya wa uongozi wenzao wa upande wa pili, ni vema wakatumia ishara hiyo kujisahihisha hakika yaweza kuwa ni mwanzo mzuri pia kwa upande wao.
Ee Mwenyezi Mungu, ibariki Tanzania kwani ni siku nyingi tuliitahiji japo ishara yako kuu.
 
ni kama lofa moja ata limewaaibisha wanyakyusa hati ati linaishukuru serikali ya ccm kwa kuwezesha solar eclipse kutokea mkoa wa mbeya.... kweli kukosa elimu ni mzigo.
Duh! Huyi ukimuuliza rais wa tz ni nani atakujibu ni Nyerere!
 
Duuh nawaza tu tukio hilo lingetokea chato kijijini kwa mh. Hao watu wangesemaje? Elimu elimu elimu.
 
Back
Top Bottom