Anzisha Uzi wa kuponda serikali au Andika Uzi wa kumponda SSH. 😆😆Jamani nijuzeni mbinu ya kupata wachangiaji na likes nyingi jf endapo nitapost uzi wangu...tatamani kupata comment nyingi hata kumpita @rikboy kwenye ule uzi wake.
Nijuzeni jamani mimi ni mgeni naomba nipokelewe vyema