njemba fulani
Member
- Jan 27, 2010
- 98
- 31
umeona eeh, wajuaji wengi humu alaf hawaoni hata aibu kuongea kwa confidence wasiyoyajua.Katika wote walotoa maelezo hapo Dero ndo yuko right.Nadhani kitaaluma Dero utakuwa mchumi.Sababu zilizotolewa za watu kwenda Xmass hazina mashiko.Tuache siasa kwenye mambo tusoyajua.Naomba kuwakilisha!!