magistergtz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 282
- 56
Bei za bidhaa za Azam kama maji, unga na ngano zimepaaa!
Ukizingatia Azam ni mzalishaji mkubwa wa vyakula na vinywaji laini hapa nchini, kupanda kwa bidhaa zake kutaathiri sana maisha ya walala hoi.
Je, hii inaweza kuwachukiza wananchi kiasi cha kuanzisha maandamano dhidi ya kupanda kwa gharama za maisha kama ilivotokea Misri au Algeria?
Ukizingatia Azam ni mzalishaji mkubwa wa vyakula na vinywaji laini hapa nchini, kupanda kwa bidhaa zake kutaathiri sana maisha ya walala hoi.
Je, hii inaweza kuwachukiza wananchi kiasi cha kuanzisha maandamano dhidi ya kupanda kwa gharama za maisha kama ilivotokea Misri au Algeria?