Kuota nyama

Pole. Nijuavyo kitaalam ugonjwa unaitwa Haemmorrhoids. Ulikuwapo tangu enzi na kama unasoma biblia utaona walipomtaja Yesu anaponya hemmordotory man. Sijui imani yako ila ili jambo si la imani,nlitaka kukueleza story ya ugonjwa huo. Pia ijulikane kuwa hospitali wana dawa ya kupunguza maumivu wala si kuponya,kinyama kikizidi kukua huwa kinaanza kuuma sana ktk umri wa miaka ya 18 na kuendelea. Hospitali watakwambia kikikua wanafanya normal surgery lakini ukata tu na kuendelea kukua tena. Kuna mgonjwa mmoja wa kiume nlimkuta hospitali ila yeye kesi iko serious zaidi kwani anawashwa sana na kinabana aja kubwa. Huu ni ugonjwa suru na ni kati ya magonjwa yasiyotibika hospital,sana sana utapewa annal suppositories ambayo ni vdonge vyenye mafuta mafuta,pamoja na dawa za kupaka,huwa zinafanya cells na vishipa vidogo vilivyo kwenye uvimbe viache kuongeza blood pressure kwenye kidonda. Ni mda mrefu namsaidia mgonjwa wangu ambaye mwaka jana alipata nafuu kwa dawa nliyoijua kutoka kwa wataalam/Doctors wa USA ila wanauza utaalam online,ila wanauza bei ghali kama dola 600 ivi. Kwa kuwa namjua mgonjwa mmoja ambaye hana uwezo kabisa sikuweza kumshauri ivo,ila kiukweli dk.alieleza fruits zenye content flani,nlichofanya ni kwenda kusearch zile chemical combinations nkagundua moja ya tunda ni zabibu mbivu na kinywaji flan chenye chemical combination ile,bado naendelea na utafiti ila kwa zabibu ni bora maana jamaa amejaribu kula zikamsaidia pole pole ila kinywaji ndo supa bt kwa ili mleta mada aniPM nlimuelekeze. Nb. Mi si daktari, sitoi dawa,sijagundua dawa. Nifanyacho ni utafiti,mtu akipona ndo ntaileta public. Jaman kama mtu akipata haemmorrhoids asitegemee kupona hospital,jaribu kutafuta ktk mitandao ujiridhishe madaktari bingwa walivoshindwa. Wahaya wanazo dawa,ila wagumu kutoa,nasikia kuna miti inaitwa kwa kihaya 'entare ye'irungu, omurehe,oluturu' nayo ni mbadala. Yakwanza3 nimeitafuta nkakuta inaleta nafuu ila si dawa kamili,ya mwisho sijaifanyia utafiti. Wale waishio dar mtafute sheikh mmoja magomen mapipa,ni mtaalam wa miti shamba,atakayetaka mawasiliano naye aniPM nimpe mwelekeo. Pia watakotaka hospitali dsm kuna dk.mmoja bingwa anaitwa Dr.Ndille,anafanya kazi pale Kariukì hosp.na kama sikosei na muhimbili,pia Dr.Nelson naye yupo hapo ila ni mtaalam kutoka Ghana,cjui kama bado yupo Tanzania. Ktk takwimu inasemekana ugonjwa huu umeenea sana kwa watu wengi ila watu uuficha. Yani over 40%ya kila watu 10 uwakumba. Tatizo ni kuwa watu ukimbilia kwa waganga wa jadi,kupiga ramli wakidhani wamerogwa wakati si ugonjwa wa mambo hayo. Siku njema.
 
mie nina ndugu yangu alikuwa na huo ugonjwa ana umri wa miaka 16 tukampeleka kwa shehe mmoja anaitwa Shehe Mfinanga anapatika Kinondoni B nyuma karibu na msikiti akampatia dawa ya mitishamba na ametumia na kimepotea kabisa mpk leo, huu ugonjwa sio mzuri kikikuwa kinauma sana , ngoja nitafute number yake nitaiweka hapa kwa wanaosumbuliwa wamtafute.
 
mie nina ndugu yangu alikuwa na huo ugonjwa ana umri wa miaka 16 tukampeleka kwa shehe mmoja anaitwa Shehe Mfinanga anapatika Kinondoni B nyuma karibu na msikiti akampatia dawa ya mitishamba na ametumia na kimepotea kabisa mpk leo, huu ugonjwa sio mzuri kikikuwa kinauma sana , ngoja nitafute number yake nitaiweka hapa kwa wanaosumbuliwa wamtafute.
 
Mwenye shida ya huyu mtaalamu plz pm me nikupatie number uweze kupata suruhisho.
 
Chunguza km kinakua(kinaongezeka kimo)kuna rafk yangu aliwahi kuwa na tatizo hilo wakat anaeleza alikuwa na umri wa miaka 14 na kilirefuka hadi 1/4 mita hivi.Jaribu kuwasiliana na madaktar wengine wakupe ushauri,hivyo vinyama vinasumbua na vikikomaa kukatwa huwa vigumu.

Sawa nitafanya hivyo baada ya kumaliza hizi dawa.
 
mPM jamaa mmoja kichwa sana hapa JF anaitwa Riwa, atakachokuambia ndio mwisho wa lami
 
Mwenye shida ya huyu mtaalamu plz pm me nikupatie number uweze kupata suruhisho.
wakuPM ili iweje? weka namba yake hapa jamvini mwenye shida atampigia, wewe unataka mambo ya usiri usiri ya nini? au unataka kuleta upigaji?
 
Jamani elewa hivyo, akisema ni yeye au mdogo wake nafikiri yote ni kutibiwa tu. Tumni hiyo dawa haraka watu wapone na Mungu atawapa thawabu.

Mwenyezi Mungu awatie nguvu.
 
tumia anusol, itaisha within 3 to 6 days. kuna adult na infant dose. inauzwa bila prescription. wala usiwe na wasi wasi, ni ugonjwa wa kawaida tu ndugu yangu, na unapona. unavo zidi kuchelewa unaongeza risk za complication so act promptly. ila kama utaweza kumuona daktari ni vema zaidi. mwambie tu kuhusu shurua na atajua namna ya kuchanga tiba zote 2.
 
tumia anusol, itaisha within 3 to 6 days. kuna adult na infant dose. inauzwa bila prescription. wala usiwe na wasi wasi, ni ugonjwa wa kawaida tu ndugu yangu, na unapona. unavo zidi kuchelewa unaongeza risk za complication so act promptly. ila kama utaweza kumuona daktari ni vema zaidi. mwambie tu kuhusu shurua na atajua namna ya kuchanga tiba zote 2.[/QUOTE

RussianRoulette:hiyo dawa inapatikana kwenye pharmacy?na inatumika vipi?maana maduka yetu wengine huku uswazi wauzaji hata awaelewi kitu.kwa hiyo siyo mbaya ukatupa darasa,na jinsi ya kutumia
Mungu akubariki.
 
Kabla ya kuanzisha Thread nilifanya kusearch kwanza hapa JF kama kuna watu walio kumbwa na ugonjwa huu....Leo jioni hii nimekutana na dada mmoja tunae fahamiana siku nyingi, tuka salimiana na kumuuliza anaelekea wapi, akaniambia Hospitalini,nikamuuliza anasumbuliwa na nini akaniambia MFICHA ma RADHI KIFO umuumbua....

Akaniambia anasumbuliwa na uvimbe sehemu ya haja kubwa, Akaniambia miaka mivili iliyopita ndio uvimbe huo ulimuanza na alienda hospital na kambiawa anapaswa kufanyiwa upasuwaji,alivyo sikia hivyo hakurudi tena hospitalini...

Akaniambia Ugonjwa uvimbe huo umeongezeka na kuwa mrefu na una mauvimu makali ambao unapelekea mda mwingine ashindwe kukaa vizuri....

Nilishtuka sana kusikia kitu kama hichi maana sijawahi kusikia ugonjwa kama huu, nilipo search hapa JF ndiopo nilipopata ufahamu wa hali ya juu, juu ya tatizo ili ambalo lina wakumba hadi watoto wadogo...

Nimeona baadhi ya majibu ya kitaalamu hapa JF na kuamini kuwa JF ni kisiwa cha Maarifa.... Ila nimeshtushwa na baadhi ya visababishi vya tatizo ili, navyo ni.

Sababu nyinginezo ni kama zifuatazo

  • Ngono ya njia ya haja kubwa
  • Kansa
  • Virusi vya ukimwi
  • Kaswende
  • Kifua kikuu

Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea Links hizi hapa chini
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/147367-kinyama-sehemu-ya-haja-kubwa.html
Mwatuko wa mfereji wa haja kubwa (Anal Fissure)
 
Pole sana dada MUNGU atakusaidia mtoto wako atakuwa mzima, fuata masharti ya DR.
 
87654321+
naona ni tatizo linalo ongezeka sana.kwa watotowadogo ni mara chache kupata tatizo hili.ila yategemea kuzaliwa,vyakula,michezo,tabia,magonjwa,ajali,ukatili, aina ya maji/udongo na maeneo ya pahali mfano milimani ,uakanda wa ziwa na pwani.wnyanyua vyuma hili ni tatizo kwao,kufanya kazi ngumu,kula vyakula vigumu,kukaa muda mrefu mfano madeva wa safari ndefu,wapanda milima (porters).udhaifu wa nyama unaoletwa na magonjwa,vyakula/lishe isiyokamilika,umri,kufanyiwa ukatili kama kunajisiwa,kufanyiwa vipimo mara kwa mara kupitia njia ya haja kubwa .mara zote unashauriwa kumwona daktari husika ili kupata ushauri unaokidhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom