Kuongeza idadi ya mikoa na wilaya kuna faida?

TANZANNIA

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
1,047
382
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la kuongeza idadi ya mikoa na wilaya mpya, naomba wana JF mnisaidie kuna faida yoyote.
 
hakuna faida zaidi ni kuongeza watendaji na unapoongeza watendaji na matumizi yanazidi pia
 
Kuna faida na hasara kutegemea na hali ya uchumi. Kuongeza mikoa/wilaya kunazalisha ajira mpya na kusogeza huduma karibu na wananchi pamoja na kupunguza ukiritimba. Kwa upande wa pili inaongeza matumizi ya serikali hivyo huweza kushindwa kugharamia huduma za jamii.
 
Back
Top Bottom