Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 11,303
- 23,756
Watajibu. Mm nilisubiri muda ila walijibu tukachat.Nimejaribu wamesema kuna foleni so nasubiri
Watajibu. Mm nilisubiri muda ila walijibu tukachat.Nimejaribu wamesema kuna foleni so nasubiri
Ukiwa unaweka salio la jero jero huwapati ng'ooo au hawapokei simu yako.
Ni kweli kampuni nyingi ukipiga chagua kiingereza faster wanapokeaMimi nawapata kwa urahisi..
Sehemu nilisumbukaga ni Tanesco, kuna siku simu inaiitaaa mpaka unachoka. Kuna staff wao akaniibia siri, pale pa kuchagua lugha uwe unaweka kingereza.
Jamani ilifanya kazi, simu ndani ya seconds kadhaa ishapokelewa. Na ndio ushakuwa mchezo wangu
Hahaha unachagua english akipokea mnakorogana kiinglishii au mnaendelea kiswahiliii...wanajua mzungu huyu, wajinga kumbee na waooMimi nawapata kwa urahisi..
Sehemu nilisumbukaga ni Tanesco, kuna siku simu inaiitaaa mpaka unachoka. Kuna staff wao akaniibia siri, pale pa kuchagua lugha uwe unaweka kingereza.
Jamani ilifanya kazi, simu ndani ya seconds kadhaa ishapokelewa. Na ndio ushakuwa mchezo wangu
Kwamba kitarudi au 🤣🤣🤣Hii ni kweli hawajui kitu kuna siku nimejiunga kifurushi cha wiki mtandao wa Airtel
Hapo hapo dk 5 nikatumiwa msg kimeisha na simu
Nikapiga simu jibu nilipewa nizime na kuwasha simu tena 😂
Nipo. Mambo vipi??
Kheri na kwako pia mpendwa!!
Nimegundua shida ni ukilaza wenu. Hakuna siku nimewapigia Halotel nikawakosaHalotel ndio bure kabisa sina hamu. Hawajawahi pokea simu wale viumbe sijui wako na shida gani.
Unaweza kunipa maelezo mimi kuwa kilaza kunahusiana vipi na wao kutopokea simu??Nimegundua shida ni ukilaza wenu. Hakuna siku nimewapigia Halotel nimawakosa
Kwamba kitarudi au 🤣🤣🤣
Inawezekana zinapokelewa za special group 😂Unaweza kunipa maelezo mimi kuwa kilaza kunahusiana vipi na wao kutopokea simu??
Half american njoo tuelekezwe 😂😂
😂😂 Ngoja atupe maelezo mana mimi sijamuelewa.Inawezekana zinapokelewa za special group 😂
Huu mtandao fanya uwezalo usikosee kutuma pesa maana hutaipataHalotel ndio bure kabisa sina hamu. Hawajawahi pokea simu wale viumbe sijui wako na shida gani.
Wanakuwa fasta mnooo wakiona ni call ya English.Hahaha unachagua english akipokea mnakorogana kiinglishii au mnaendelea kiswahiliii...wanajua mzungu huyu, wajinga kumbee na waoo
Halotel nafikira kuwahama huduma zao ni mbovu na hawajali wala nini.Huu mtandao fanya uwezalo usikosee kutuma pesa maana hutaipata
Hao halotel ni sikio la kufa labda kama yeye ni miongoni mwa wamiliki wakubwa.😂😂 Ngoja atupe maelezo mana mimi sijamuelewa.