Kuomba ajira mpya ya ualimu

Jun 16, 2015
19
2
Habari wana jamii! Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu kutoka chuo kimoja hapa nchini . Nilimaliza chuo mwaka jana 2014 na nikabahatika kupangiwa ajira mpya za ualimu juni mwaka huu .
Lakini
Nimepata ajira kwa mtu binafsi ananilipa mara tatu ya mshahara ambao ningepata huko selikalini namaslahi mengine kadhaa!
Bosi wangu ni raia wa kigeni anaweza kuondoka nchini mwakani au miaka mitatu ijayo .
Naomba ushauri wana forum,
Vipi naweza kufanya ili kuipata tena ajira ya serikali pindi nitakapomaliza mkataba wangu huu?
Katika ajira mpya ya serikali niliyopangiwa mwaka huu sijaripoti na wala sijafanya lolote kuhusu ajira hiyo .Natanguliza shikrani zangu za dhati kwenu .
 
Kama ni mara tatu basi utakuwa unalipwa
tshs630000(salary ya serikali) *3=1890000tshs (mshahara wako wa sasa)
chukua 1890000*36(miaka 3) = jibu weka mwenyewe,ukitoka hapo mkuu bado tena unahitaji tu kurudi kufanya kazi za watu?!! duh hii ni shida sasa!!!
 
Nafahamu kaka hata hapa tiyari nimeanza kuwekeza ktk biashara.
Lkn anything can happen! Nataka nijue kuhusu ajira ya serikali ili niweze kupanga vyema mipango yangu ya muda mrefu na security .#kaka yako napita
 
Kama ni mara tatu basi utakuwa unalipwa
tshs630000(salary ya serikali) *3=1890000tshs (mshahara wako wa sasa)
chukua 1890000*36(miaka 3) = jibu weka mwenyewe,ukitoka hapo mkuu bado tena unahitaji tu kurudi kufanya kazi za watu?!! duh hii ni shida sasa!!!

Vile vile siyo 100% ya mshahara unaweza save kuna expenses ambazo ni lazima ufanye
 
Sasa km ya serikali Basi imeshakula kwAke kwani kuripoti c mlipewa cku5 mpka sasa ulikuwa wapi kma ushauri ungeomba mapema kabla ya hapo.we endelea na hiyoo uliyonayo kijana
 
Kama we ni sayansi utapata na hata art kwa kuhonga...ila utapaswa kuomba halimashaur husika then wao ndo watakuajiri na kupeleka jina juu
 
una uhakika unalipwa mara tatu ya mshara wa mwal?? kaz gan ya shahada ya kwanza huyo mzungu anakulipa zaid ya 1.8mil?? Em fanya mahesabu vizur ndo ufanye maamuz na ujue mshahara wa mwal serikalin sio constant.... unaongezeka kila mwaka!!
 
Sikilizaa ww Umefanya Mistake!!ungeenda kuripot kituo chako.cha Serikali then.ukaomba Likizo(isio na malipo) ya hio miaka ambayo utafanya kazi private
Nafasi yakk.serikalini ingekuaa paaaleepalee!!Ili hata ikitokea Unapata ttzo llot mbeleni unakua na uhakika wa Ajira yako serikalini!!
 
Type your monthly pay after deducting PPF, NSSF or PSPF Contribution,
Then click on the "calculate PAYE" button to find your monthly Income Tax payable.​
Salary Amount PAYE

Usisahau kuzingatia hii pia japo sijatoa mifuko ya jamii.
 
Fanya kaz miaka 3 nenda kasome kidogo utaingia serikalin moja kwa moja...
 
Sikilizaa ww Umefanya Mistake!!ungeenda kuripot kituo chako.cha Serikali then.ukaomba Likizo(isio na malipo) ya hio miaka ambayo utafanya kazi private
Nafasi yakk.serikalini ingekuaa paaaleepalee!!Ili hata ikitokea Unapata ttzo llot mbeleni unakua na uhakika wa Ajira yako serikalini!!

Tatizo kaka ningeenda kuripoti ningeingizwa ktk system n hazina so ingekua ngumu kuomba kazi nyingine selikarini
 
una uhakika unalipwa mara tatu ya mshara wa mwal?? kaz gan ya shahada ya kwanza huyo mzungu anakulipa zaid ya 1.8mil?? Em fanya mahesabu vizur ndo ufanye maamuz na ujue mshahara wa mwal serikalin sio constant.... unaongezeka kila mwaka!!

Najua ninachilipwa kaka nina uhakika but sijasema nafanya kazi kwa mzungu! Nafanya kwa raia wa kigeni, nadhani hata mkenya ni raia wa kigeni lkn siyo mzungu.
 
Sasa km ya serikali Basi imeshakula kwAke kwani kuripoti c mlipewa cku5 mpka sasa ulikuwa wapi kma ushauri ungeomba mapema kabla ya hapo.we endelea na hiyoo uliyonayo kijana

Sidhani kama usiporipoti mwaka huu ndo huna tena nafasi ya kufundisha maisha yote, mbona zamani ajira zilikua hazitoki moja kwa moja na watu walikua wanaomba ajira na wanapata .
 
Back
Top Bottom