Ni kweli!
kimila mimi naweza sema TUNADUMISHA MILA NA DESTURI ZETU!
hebu ikuze hiyo document tuone proof
hapa ninakula,huku napitia jf!yaani huu mtandao utakuja vunja ndoa za watu!senksi nimshazigonga KAMA MLIVYOAaah Bana hata kama haisomeki si unamgonga na SENKSI fasta? Ushamsahau baba mchungaji nabii wa jana?
Bwana mkubwa hiyo kitu haisomeki!fanya makekeHahaha umesikia Jacob Zuma anaongeza kiburudisho cha 5 next monday, wewe Lily endelea kumbania Mr. wako huyo.
Msimamo uko pale pale.Hahaha umesikia Jacob Zuma anaongeza kiburudisho cha 5 next monday, wewe Lily endelea kumbania Mr. wako huyo.
sasa huo waraka una mapungufu gani?hivi fidel huyo aliyokupa huo waraka ni mzima kumukichwa au ndo aina ya wale wanaojiita masalia?
Kuna namba yake ya simu hapo unaweza mtwangia akupe neno
hujiamini wewe!sisi tumekula nae bia huyo!.......Naogopa asije akaniambia tuondoke kesho asubuhi kuelekea Kabul nawaogopa sana hawa jamaa
Alipiga kili moja na nusu! Usishangae nusu aliipata wapi! Fidel alienda msala nabii akamsaidia!hujiamini wewe!sisi tumekula nae bia huyo!.......