Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
- Thread starter
- #21
Chaku,
Ningependa kukupatia ushuri na labda ushuhuda wa nini kiko kwenye ndoa. Lakini mada yako inaonesha mtazamo hasi kuhusiana na suala la ndoa. Kwa sababu hiyo naweza kukuambia kuwa hata uishi miaka 200 hutaweza kupata majibu ya maswali yako isipokuwa ukifanya uamuzi wa kuingia kwenye ndoa ili uone mwenyewe. Majibu yote utakayopata hayatakusaidia. Kila ndoa ni unique kwa hiyo kila mtu analo lake. Ila kwangu mimi, kila kitu ninachopata kwenye ndoa ni raha tupu!
Kwa kweli ndugu yangu nashukuru kwa ushauri wako mzuri sana nami napenda sana maisha ya ndoa kama yakiwa nitakavyo lakini ni haya mambo ambayo watu wanapokuwa ndani ya ndoa yanakuwa hayaishi?
Kweli maana ya ndoa ni mikwaruzo ambayo haina msingi?Muingiliano wa familia wakati hao ndo wliokuwa wanashangilia siku ya harusi yenu?
Kweli ndoa inakuwa kama adhabu au ni laana ambayo mtu anakuwa amepewa na mwenyezi mungu?
Mbona mafundisho yote mliyopata kipindi mnajiandaa kuanzia begparty,sendoff na kitchen party yanapotea au ni kuburi cha wanandoa pale inapotokea kuwa hakuna jinsi hata akiniacha au nikimuacha tutagawana kila kitu.
Sasa hayo yote ndo nayoyataka kuyajua siyo kwamba kuuliza kitu nikumbia kuingia la hasha ila nikutaka kujua ili uelimike.
Mimi mfano hai ni kaka yangu ameoa lakini kipindi nasoma Olevel na A leve ni lipata shida kutoka kwa mkewe mpaka leo hii wanazaidi ya miaka kama kumi na lakini huyu mwanamke bado nimshrikina maana yake nini?