Kunyanyasika kwangu mie unlucky hili sio jina langu natumia tu

Pole sana unluck. Ila kuna uwezekano mkubwa kuwa tatizo si wewe. Huyo mumeo ni mfupa ulomshinda fisi. SI umesema alikuwa na mke kabla yako na watoto watano? Pole wakati mwingine tunahitaji kuwa extra careful na watu walokwisha oa/olewa kwani wanawweza kuwa ni watu wasio na uwezo wa kuishi na wenza au wakawa ni kweli ni victims wa wrong number.
 
Unlucky, nilidhani hii thread ulishaileta kitambo hapa na ukashauriwa? Hebu tupe mrudisho nyuma...
 
Mimi sijui kama kuna ushauri zaidi ya kuanza maisha yako mapya! Mwenzio si alimuacha na watoto 5, lea wako na maisha yataenda tu!
 
Yaani hii story sijaimaliza baada tu ya kufika alikuwa na mke na watoto watano akawaacha.
Did u think utakuwa exceptional kama alidiriki kuacha mke na watoto watano?
Uliyafikiria machozi yz bi mkubwa?
Ulifikiria machungu ya watoto wake wale wa mke mkubwa?

Siriazly unanshangaza, hata ukiamua kuchukua mme wa mtu hakikisha haachi nyumba kubwa na familia ya kwa huduma zote.
 
Unlucky, nilidhani hii thread ulishaileta kitambo hapa na ukashauriwa? Hebu tupe mrudisho nyuma...

Si ajabu aliendelea kuvumulia na kuhope kuwa atambadilisha kwa mapenzi...... Love changes all..... LOL
 
Imagine ni rafiki yako anakusimulia wewe.......ungemshauri nini?
Self reflexion ni bora kuliko free opinions from the forum sometimes

alikutumia kupata uwezo!!!!!!!! sasa ni zamu yako kujitumia upate uwezo pia xperience si unayo tayari
 
Potelea kwa mbele kama ulishauriwa na wala hukuusikia ushauri huo.

Jee unasubiri uletewe ukimwi halafu uje kutafuta ushauri mwengine hapa?

Watu wengine mwe! Mungu amewapa akili hawawezi kuzitumia ipasavyo halafu wanakaa kulalama tu.
 
pole sana dada.. jaribu kuongea na wazee... nadhani huku atona haya kidogo...



"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯

 
ndo mana leo nimerudi tena kuomba msaada wa mwisho manake nikimwambia mama anasema vumilia tu utaenda wapi utawalea vipi hao watoto watatau unanini nikimwambia mwingina ananiambia watoto waachie huyo mnyama awalee mwenyewe wewe kaanze maisha yako ukiwa peke yako utahangaika lakini na watoto utateseka watoto wake leo hataki hata kunioa sura yangu kafahamishwa na kaka yake lakini ye yupo pale pale kama mie basi jamani nifanye nini watoto niwasaliti nimwachie nisonge mbele kuliko kufanywa kama mnyama manake hata nikikimbia nao yeye anawataka watoto wake manake mara nyingi kasema we ondoka watoto waachie hapahapa mie nitawalea nikimwambia mwingine ananiambia ukichukua watoto utapata tabu mpaka dunia utaiona chungu gharaama zao utatoa wapi na utamwachia mwanya ya huyu bwana kustarehe nifanyeje hebu nisaidieni
kw
enu hakuna wanaume wenye akili wa kukusaidia?

mimi wewe ungekuwa dada yangu tungekuja 'kumpa kipondo na kumfukuza huyo mgonjwa wa akili hhapo

tafuta namna hata wahuni wa kukodishwa umfukuze yeye hapo asije tena
wewe uanze hata biashara ya kuuza vitumbua....
 
Kuna vitu vya kungojea na ku-hope ila sio hivi! Huyu moyo wake hata upewe bure haufai hata kwa supu,kha!
Si ajabu aliendelea kuvumulia na kuhope kuwa atambadilisha kwa mapenzi...... Love changes all..... LOL
 
Ukiona mwanamme anaacha mke na watoto eti sababukakupenda wewe kimbia kama ukoma.
Hiyo kitu haipo, it will nneva work.

Kutelekeza tu mke na watoto 5 tayari mi kwangu ni kasoro ambayo haiwezi vumilika.
 
Pole sana unlucky...ni kama hii thread ulishaileta hapa ni nilikupa ushauri mzuri tuu..mpaka sasa hakuna mabadiliko yeyote? kama bado basi funguka ili tujue wapi tuanzie
 
ndo mana leo nimerudi tena kuomba msaada wa mwisho manake nikimwambia mama anasema vumilia tu utaenda wapi utawalea vipi hao watoto watatau unanini nikimwambia mwingina ananiambia watoto waachie huyo mnyama awalee mwenyewe wewe kaanze maisha yako ukiwa peke yako utahangaika lakini na watoto utateseka watoto wake leo hataki hata kunioa sura yangu kafahamishwa na kaka yake lakini ye yupo pale pale kama mie basi jamani nifanye nini watoto niwasaliti nimwachie nisonge mbele kuliko kufanywa kama mnyama manake hata nikikimbia nao yeye anawataka watoto wake manake mara nyingi kasema we ondoka watoto waachie hapahapa mie nitawalea nikimwambia mwingine ananiambia ukichukua watoto utapata tabu mpaka dunia utaiona chungu gharaama zao utatoa wapi na utamwachia mwanya ya huyu bwana kustarehe nifanyeje hebu nisaidieni

Utazunguka kooote, lakini solution ni moja tu, toka haraka sana kwa huyo mwanaume!! Usione watu wanauza mahindi ya kuchoma ya sh 100, ni kwa sababu wamechagua kuwa huru!!
 
Si ajabu aliendelea kuvumulia na kuhope kuwa atambadilisha kwa mapenzi...... Love changes all..... LOL

Sometimes ni kujinyanyasa yeye mwenyewe, wala sio kunyanyaswa kwa sababu ye ndo anakaribisha manyanyaso!! Dah........kuna watu wanajichukia jamani mweeh!!
 
Back
Top Bottom