Unlucky, nilidhani hii thread ulishaileta kitambo hapa na ukashauriwa? Hebu tupe mrudisho nyuma...
kwndo mana leo nimerudi tena kuomba msaada wa mwisho manake nikimwambia mama anasema vumilia tu utaenda wapi utawalea vipi hao watoto watatau unanini nikimwambia mwingina ananiambia watoto waachie huyo mnyama awalee mwenyewe wewe kaanze maisha yako ukiwa peke yako utahangaika lakini na watoto utateseka watoto wake leo hataki hata kunioa sura yangu kafahamishwa na kaka yake lakini ye yupo pale pale kama mie basi jamani nifanye nini watoto niwasaliti nimwachie nisonge mbele kuliko kufanywa kama mnyama manake hata nikikimbia nao yeye anawataka watoto wake manake mara nyingi kasema we ondoka watoto waachie hapahapa mie nitawalea nikimwambia mwingine ananiambia ukichukua watoto utapata tabu mpaka dunia utaiona chungu gharaama zao utatoa wapi na utamwachia mwanya ya huyu bwana kustarehe nifanyeje hebu nisaidieni
Si ajabu aliendelea kuvumulia na kuhope kuwa atambadilisha kwa mapenzi...... Love changes all..... LOL
ndo mana leo nimerudi tena kuomba msaada wa mwisho manake nikimwambia mama anasema vumilia tu utaenda wapi utawalea vipi hao watoto watatau unanini nikimwambia mwingina ananiambia watoto waachie huyo mnyama awalee mwenyewe wewe kaanze maisha yako ukiwa peke yako utahangaika lakini na watoto utateseka watoto wake leo hataki hata kunioa sura yangu kafahamishwa na kaka yake lakini ye yupo pale pale kama mie basi jamani nifanye nini watoto niwasaliti nimwachie nisonge mbele kuliko kufanywa kama mnyama manake hata nikikimbia nao yeye anawataka watoto wake manake mara nyingi kasema we ondoka watoto waachie hapahapa mie nitawalea nikimwambia mwingine ananiambia ukichukua watoto utapata tabu mpaka dunia utaiona chungu gharaama zao utatoa wapi na utamwachia mwanya ya huyu bwana kustarehe nifanyeje hebu nisaidieni
Si ajabu aliendelea kuvumulia na kuhope kuwa atambadilisha kwa mapenzi...... Love changes all..... LOL