MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Kumbe watoto anawataka? Siamini! Hao watano wako wapi? Unao wewe au anawalea wapi? Ikiwa hao watano kawatupa, hao wako watatu unadhani atawalea?ndo mana leo nimerudi tena kuomba msaada wa mwisho manake nikimwambia mama anasema vumilia tu utaenda wapi utawalea vipi hao watoto watatau unanini nikimwambia mwingina ananiambia watoto waachie huyo mnyama awalee mwenyewe wewe kaanze maisha yako ukiwa peke yako utahangaika lakini na watoto utateseka watoto wake leo hataki hata kunioa sura yangu kafahamishwa na kaka yake lakini ye yupo pale pale kama mie basi jamani nifanye nini watoto niwasaliti nimwachie nisonge mbele kuliko kufanywa kama mnyama manake hata nikikimbia nao yeye anawataka watoto wake manake mara nyingi kasema we ondoka watoto waachie hapahapa mie nitawalea nikimwambia mwingine ananiambia ukichukua watoto utapata tabu mpaka dunia utaiona chungu gharaama zao utatoa wapi na utamwachia mwanya ya huyu bwana kustarehe nifanyeje hebu nisaidieni
Kama ni kweli hilo la kutaka watoto, kumbe amekuwachia njia nyeupe! Lakini hiyo sio case, cha kufanya ni kuondoka hapo bila ya kutizama nyuma. Watoto ikiwa anawataka au hawataki, hiyo si shauri yako. Wewe sepa. Kaanze maisha mapya.