PauloKichaa
Senior Member
- Jun 6, 2011
- 122
- 39
Msaada, nahitaji kununu bendera ya Tanzania ya ukubwa wa urefu 1m na upana 0.8m, naweza nunua wap hapa Dar, nimetafuta maeneo mengi nimekosa au kama kuna mtu ana contacts plz.
Palestina ipi sinza ama?
vipi na crown za polisi zinapatikana?
0.8cm???? Upana gani huu? Itaitwa bendera kweli?
Palestina ipi sinza ama?