Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Mpendwa hivi ni kweli nilichosoma ama naota? Hivi kweli ile harufu mbaya hivi wewe unaipenda na kuifurahia? Nenda kwa daktari sio bure!
 
Ni kweli kwapa hasa la msichana mwembamba ni zuri na pale linaponukia kaharufu flani. Me ni mdau sana wa hii.
 
Bwabwa, Akili Kichwani na JiuParatupu nawafeel!

Hamko peke yenu ila labda mie naongelea harufu ya kiutu uzima sio uchafu wa kutooga! Je ni kweli tunaumwa? ama ni dhambi?

Mie na shem wenu tumefika mbali zaidi hadi kwenye nguo zetu! Nadhani mnanielewa!
 
Bwabwa, Akili Kichwani na JiuParatupu nawafeel!

Hamko peke yenu ila labda mie naongelea harufu ya kiutu uzima sio uchafu wa kutooga! Je ni kweli tunaumwa? ama ni dhambi?

Mie na shem wenu tumefika mbali zaidi hadi kwenye nguo zetu! Nadhani mnanielewa!

Hahha hha lol!
 
Hapa sio kwamba nawachekesha...la! Ila kuna wakati naacha kutembea na mkoko wangu na kupanda daladala...sasa basi nisione msichana mwembamba amevaa nguo ioneshayo kwapa halafu ameshika bomba, haki ya kweli nitapitiliza kituo mradi nipate raha ya kuona kwapale!
 
Ki-harufu kina raha bwana; miee nabeba hata baadhi ya nguo zake nikisafiri lakini ni zile safi zilizokwisha valiwa kwa muda huwa zinabaki na harufu yake! we acha bwana!
 
Hivi kikwapa huwa ugonjwa au ni uchafu tu - utakuta mtu kila siku aonge asioge ni kunuka harufu ya ajabu ajabu - akipaka perfume ndo kabisaa anaharibu - kama mpo naye ofisi moja basi ni kero unaweza hata kubadili section - sasa kasheshe awe anatafuta urafiki na wewe yaani kila saa usiniache twende wote lunch, au anakuja mezani kwako anakuwekea kwapa lake kukuonyesha kitu kwenye computer basi kero kero mtindo mmoja - kama umetoka kula muda huo basi unahisi tumbo linachemka vyakula vinataka kutoka nje.

haya madaktari hebu gagadueni jambo hili tujue na kama ni ugonjwa semeni dawa yake ni nini?
 
Kikwapa si ugonjwa mkuu! Inaitwa kikwapa kwa sababu ni harufu kali, tena isiyopendeza. Lakini kwa kweli ni harufu ya kuzaliwa nayo mtu, ni harufu ya mwili, au tuseme ya ngozi ya mtu. kila mtu ana harufu yake. Kuna watu wana harufu kali sana, na wengine wana harufu za wastani, nk. Sasa huyu mwenye harufu kali sana ndo huwa tunasema ana kikwapa. Yeye hata aoge namna gani harufu hiyo haitoki kwa sababu ni harufu ya mwili/ngozi/maumbile. Kumbe inabaki palepale tu. Ndo mana wanaojijua wana hiyo hali wanajitahidi kwa usafi na marashi ili kupunguza makali.

Kwa wale kina mimi wasiojijali au hawana uwezo basi harufu hiyo inakuwa kali kweli. Na mbaya zaidi mtu awe mchafu hajijali basi ndo hivo tena. Ananuka kwelikweli. Cha maana tuvumiliane kwamba tuko tofauti. Pili, tusaidiane kushauriana ili kuboreshana pale tunapokutana na wenye kikwapa. Mpe ushauri, mwambie afanyeje, atumie marashi gani, nk. Kwa hili wanawake ni mabingwa kuliko wanaume.
 
Mkuu kuna njia nyepesi za kuzuwia hiyo hali miaka ya nyuma baadhi ya sehemu wazazi na kina dada walikuwa wanatumia kitu kitwacho PODA kuweka katika kwapa zao hapo husikii harufu ,kama kuna mtu unafanya nae kazi tafuta njia siku ya Basidei yake Mpe za wadi ya kopo la Poda.,mwambie unapenda hiyo msichana akiweka kwapani kuliko kuweka pafum .
 
Mshauri awe ananyoa kila nywele zinapoota kwapani akioga na kusafisha kwapa, afanye hivi akate ndimu au limao katikati halafu apake chumvi kidogo na asugue kwapani, aache kama dakika 5 hivi halafu asuuze kwapa na maji, njia hii itasaidia kiasi au kuondoa kabis harufu! Mshauri pia awe anatumia deodorant.
 
Naona umewahi, dawa ni kuweka ndimu hata kama una harufu basi inaondoka na wala haina kuweka deodorant, tena kabisa hakuna kuweka hiyo odorant kwani mtu mwenye hali hiyo ngozi yake itaungua ukiweka hiyo odorant
 
Pia bicarbonate of soda works wonders, after a shower una apply under your armpits kama powder and you will feel fresh for the whole day. No need for deodorants.
 
Mshauri awe ananyoa kila nywele zinapoota kwapani akioga na kusafisha kwapa, afanye hivi akate ndimu au limao katikati halafu apake chumvi kidogo na asugue kwapani, aache kama dakika 5 hivi halafu asuuze kwapa na maji, njia hii itasaidia kiasi au kuondoa kabis harufu!
mshauri pia awe anatumia deodorant.

Hii nimeshashuhudia mtu akitumia na ilimsaidia sana kwa kweli
 
Mi ni bachelor na mwanzoni nilijifanya mgumu nipike mwenyewe msosi kwa raha zangu.

After a month uzalendo ukanishinda nkaanza kununua ma-junky foods, nikaona haifai hii.

Nikatafta mschana awe ananipikia. Msichana huyu ana hili tatizo la kutoa harufu kali. Hakai kwangu basi mornii akija harufu nyumba nzima.

Nilipanga nimuambie ila napata kigugumizi. Girl friend wangu angekua mtu wa kumuambia ila kwa msimamo wake anaona kwa kua yeye pale kwangu anakuja mara moja kwa mwezi yaan kwa nadra sana anaona ataingilia mambo ya pale kwangu akimuambia. Mimi mwenyewe mwanzoni nimepanga nimnunulie dudorant ila nkawa najishtukia asijeakaona huyu kaka anantaka taratib taratib nini.

Nimependa michango yenu hasa wa ARSN WENGA. Othawaiz kama kuna wazo lingine nawakarbisha.
 
Na wengine wanasema kuosha hilo kwapa na maji ya ukoko wa ugali pia inasaidia maana yake ukipika ugali then ukiloweka sufuria yale maji yake unaoshea kwapa lao ila sijui nni kwa muda gani inasaidia kuondoa hiyo harufu kali, ila ushauri wa kutumia ndimu uliotolea hapo juu ni mzuri sana na isitoshe ndimu/limao ni dawa ya vitu vingi hata fungus.
 
Na wengine wanasema kuosha hilo kwapa na maji ya ukoko wa ugali pia inasaidia maana yake ukipika ugali then ukiloweka sufuria yale maji yake unaoshea kwapa lao ila sijui nni kwa muda gani inasaidia kuondoa hiyo harufu kali. ila ushauri wa kutumia ndimu uliotolea hapo juu ni mzuri sana na isitoshe ndimu/limao ni dawa ya vitu vingi hata fungus.

Hii ya maji ya ukoko hata mi nimeshaisikia. Nilishangaa sana. Kweli dawa ya moto ni moto!
 
Msisitizie pamoja na haya, kuoga at least mara mbili kwa siku na asirudie nguo. Challenge yangu mimi ni rafiki yangu (coaligue) mwanaume, ana mke mrembo kweli na tunafahamiana. Lakini jamaa ananuka kikwapa kweli na anavaa nguo chafu. Nashindwa nimuambieje. kumfumbia naona kama itakuwa uswahili flani? Ushauri tafadhali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom