Kunena kwa lugha kwa kuiga kulivyoshusha hadhi ya ulokole

Siku hizi unenaji wa lugha umepungua sana makanisani. Hii generation ya sasa wakiwemo wachungaji wao hawaelewi vipawa vya roho mtakatifu. Wanafundisha mambo ya ajabu ambayo old generation wanaona ni upuuzi mtupu. Mzee mzima unaingia kanisani kusali ukidhani utakutana na mambo ya wakati wako, unaishia kukwazika na mambo ya vijana wa leo wanavyoendesha ibada. Kwanza vaa yao ni utata mtupu, mahubiri ni vituko vitupu, habari za roho mtakatifu na injili za utakaso hazihubiriwi siku hizi. Hakuna wachungaji wanaojua kuchambua vitabu uya unabii, wanahubiri blaa blaa tupu. Afadhali ya wale wanaohubiri zaka na mafungu ya kumi
 
Rikabarashika ndorobo yamandara...

Rikabarashika, ooh rikabarashika...

Jamani...

Ila wengine ni kweli wanashukiwa..
Rikadomomomomomomomomo, kurabashandarakusha,orientation tetetettttetteeeeee, kaikaikaikaikaikaikaikakaikaikaikai, kukurukakarakukurukakara n.k
 
Mwanzoni nlidhani hiyo kitu inafanya kazi kweli nlipo gundua ni usanii hakuna jipya basi nabaki kiwangalia kisha majisemea kimoyo moyo ...... hiiii (in JPM voice)
 
Rikabarashika ndorobo yamandara...

Rikabarashika, ooh rikabarashika...

Jamani...

Ila wengine ni kweli wanashukiwa..
Haya maneno sidhani kama yana uhusiano na roho mtakatifu,kuna mtumishi wa Mungu niliwahi kumuuliza hiyo lugha,akasema ni aina ya swaga ambayo watumishi wameamua kuitumia wanapofanya maombi...
 
Wengine wana hoja tuwe tunawapa Nafasi.. "Eeh Baba Namashaka na Haka karaba kanabanabana sana baba kidogo robo kidole kinatapatapa na mapatashika atataa riiiiii"
 
Haya maneno sidhani kama yana uhusiano na roho mtakatifu,kuna mtumishi wa Mungu niliwahi kumuuliza hiyo lugha,akasema ni aina ya swaga ambayo watumishi wameamua kuitumia wanapofanya maombi...
Hahaha!et ni aina ya swaga umenifurahisha mkuu
 
Siku ile ya Pentekoste Roho Mtakatifu Aliposhuka watu walishangaa kwa sababu mitume waliweza kuongea lugha karibia zote za watu waliokuwepo pale siku ile na wakaeleweka. Kwa mfano kama Msukuma ulikuwa pale basi ungeweza kumsikia Mtume Petro (ambaye hajui Kisukuma hata kidogo) akisema:

"U Moyo Ng'wela wizaga. Bing'we bababa na bamayū abomulīhoyaha, nzunyagi Yesu Nkomoji ūyo Agiza ūcha hansalaba gūlwanguno ya shibi shing'we. Ū Yesu ng'wenūyū ūyo ng'wamona Alīja ng'wigūlū, Alashoka gwiza gūbabūcha abo bantogilwe na gūbinha būpanga būdalashila"

Sasa siku hizi utasikia "hondoroboboo karoroobooboo. Parakatumba rororojooooo" mpaka mtu unashangaa. Ni kweli huyu mtu kashukiwa na Roho Mtakatifu au ni fix tu?

View attachment 2750203
Nimekuelewa vizuri Sana. Na ukiangalia lengo la kunena kwa lugha ilikuwa ni kuwawezesha mataifa mengine kulisikia neno la Mungu.

Nimewahi kuuliza, je katika biblia ni wapi Yesu ananena kwa lugha??
 
Ni kunena kwa lugha au kupagawa?

Mitume walinena lugha zilizokuwa kwenye jamii za mataifa sio lugha zisizokuwepo kwenye jamii yoyote.

watu wa sasa wanapagawa tu, hakuna kunena kwa lugha... wengine wanaongea na miungu ya maagano yao wanasema wananena kwa lugha.

Kunena kwa lugha ni ujikute unaongea kichina na hukuwahi kufundishwa popote, na hicho ndicho kipawa kutoka kwa Roho Mtakatifu kilichowashukia mitume.

Mitume na manabii wa leo wengi wanaongozwa na Roho Mtakavitu na sio Roho Mtakatifu.

Fikiria Nabii anaombea kubet embu fikiri tu, mchungaji anaombea mtu ambaye hayupo kwenye ndoa apate mtoto, embu waza tu vizuri hii imekaaje?
 
Ukisikia mtumishi anatamka hivi.
Bobo shanta bila ni tafsiri ya maneno ya kilantini kwa maana ya freemason anaamanisha.tafsiri yake.
" ewe shetani wote Hawa ni waumini wako nakukabidhi chukua".
Ukisikia mtumishi anarudia rudia neno Fulani mfano Hittler,ayaa yaa nk wote hao ni mawakala pigia mstari.
 
Hapo hakuna kuelewana naona ni maigizo tuu...watu wazinzi hao hao watembea na waume na wake za watu,wachawi watumia ndumba wala sadaka za maskini......n.k..... watanena na roho yupi....
Endelea kujifariji,ulichokiandika hapo,kwa kiingereza tunakiita "justification" ,yaani unajaribu kuipaka mafuta Hali yako mbaya ya kiroho uliyonayo,kwa kuwalaumu waliookoka na kuwasingizia mabaya.
 
Back
Top Bottom