LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Ndivyo tulivyo sisi watoto wa kiafrika. Nawapenda watoto woteeeeeehao watoto kwenye hiyo avatar yako nimewapeeeendaaaa...
Ndivyo tulivyo sisi watoto wa kiafrika. Nawapenda watoto woteeeeeehao watoto kwenye hiyo avatar yako nimewapeeeendaaaa...
TumefanyajeWanawake bwana! ! ! !
sina la kuongezea hapaLizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi
Wamekufanyaje tena hao watu we mdada wa unga ltd? Kumbe hata wewe huumia? Mi nilidhani we Gangstar lady, disminder... teh! teh! Imekuwaje tena?....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
Lizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
kweli kabisa gaga, mara nyingine sisi wenyewe huwa na makosa ila hatuyaoni. Marafiki wanapotukimbia tunahisi ni wabaya bila kuangalia wapi tumewakosea.Unapokuwa na marafiki huna budi kuishi nae kutokana na vile yeye anapenda. Kuna marafiki wengine ukikutana nao wao ni kuongea porojo na kucheka tu. Hakuna jambo la maana mtakalojadili. Mtu kama huyo huna budi kwenda nae hvyo hvyo anavyopenda ili muweze kupatana.Kuna rafiki wengine ni wagumu kwenye kuwasiliana, mfano mzuri ni mimi mwenyewe, nina rafiki yangu hapigi simu hadi awe na shida au anataka kujua jambo flani, ukimtext umpe hi anaweza akauchuna na sometimes unaweza ukampigia umsalimie asipokee. Sijamchukulia kama ni rafiki mbaya pamoja na hiyo kero na tunaishi kama ambavyo yeye anapenda.Namshauri lizzy aishi na rafiki zake kutokana na wao wanavyopenda, asijaribu kuwafanya rafiki zake wafate matakwa yake maana ataishia kuwapoteza.Lizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi
#kweli kabisa gaga, mara nyingine sisi wenyewe huwa na makosa ila hatuyaoni. Marafiki wanapotukimbia tunahisi ni wabaya bila kuangalia wapi tumewakosea.Unapokuwa na marafiki huna budi kuishi nae kutokana na vile yeye anapenda. Kuna marafiki wengine ukikutana nao wao ni kuongea porojo na kucheka tu. Hakuna jambo la maana mtakalojadili. Mtu kama huyo huna budi kwenda nae hvyo hvyo anavyopenda ili muweze kupatana.Kuna rafiki wengine ni wagumu kwenye kuwasiliana, mfano mzuri ni mimi mwenyewe, nina rafiki yangu hapigi simu hadi awe na shida au anataka kujua jambo flani, ukimtext umpe hi anaweza akauchuna na sometimes unaweza ukampigia umsalimie asipokee. Sijamchukulia kama ni rafiki mbaya pamoja na hiyo kero na tunaishi kama ambavyo yeye anapenda.Namshauri lizzy aishi na rafiki zake kutokana na wao wanavyopenda, asijaribu kuwafanya rafiki zake wafate matakwa yake maana ataishia kuwapoteza.
kuanzia leo wewe adui yangu tena ngoja nikuweke kwenye ignore list#watu tupo bizee tunajenga uadui nyie ndo kwanza mnatafta marafiki?waswahili bana!
kuanzia leo wewe adui yangu tena ngoja nikuweke kwenye ignore list
nishakuweka kwenye ignore list, posts zako sizioni.khaaaaa! tangu ufanye kitambi umekuwa na hasira kweli aisee!
hehehehehe lol. acha namimi nikuweke, tutakuwa hatuonani tena.hii ni post ya mwishonishakuweka kwenye ignore list, posts zako sizioni.
kuanzia leo wewe adui yangu tena ngoja nikuweke kwenye ignore list
heheeh Lizzy bana! kaibiwa ka handbag kake ka shilling elfu tano na CPU basi imekuwa balaa
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.