Kuna watu...

pole wifi yangu. learn how to change ur expectations. angalia njia za kuzuia psychosocial stress,mojawapo ni hiyo ya kutochukulia maisha seriously kama mtm anavyosema,pili ni kuwa flexible.wachukulie watu wote kuwa ni binadamau,wakitenda mazuri just appreciate! wakitenda mabaya ama ambayo hukutegemea waonee huruma manake personality zao ndo zilivyo.usikubali kuwa victim wa mtu,u ar a wonderfull person,created in a unique way na umechukua muda kujijengea personality uliyonayo.waonee huruma ambao hawajaweza kugundua kama wanahitaji kujijengea personality flani! smile bibie,its wknd!
 
Lizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi
sina la kuongezea hapa
 
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
Wamekufanyaje tena hao watu we mdada wa unga ltd? Kumbe hata wewe huumia? Mi nilidhani we Gangstar lady, disminder... teh! teh! Imekuwaje tena?
 
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.

Lizzy nani kakutenda tena...kweli umesema watu wengine hawana maana hata siku moja, wanajifanya marafiki kumbe ni adui kuliko hata adui mwenyewe...mie nina rafiki zangu toka utotoni, tunakosana tunasameheana wengine ni part time rafiki tu, wanakuja na kuondoka sanasana niwapo na shida nabakiwa na wale wale old school hommiez tu.
 
Lizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi


Lizzy kahug problems hahahaha...nakomelea misumali hapo hapo Gaga ulipoachia, Liizy mkali mno hata maandishi yake tu ukisoma ni short cut...yeye kila kitu yeye tu, ujanja yeye,ukorofi yeye, pia ujeuri yeye......hahaha gaga umeng'ata penyewe...umeiona senkisi yangu lakini?
 
heheeh Lizzy bana! kaibiwa ka handbag kake ka shilling elfu tano na CPU basi imekuwa balaa
 
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.

Pole sana Lizzy; ingawa nakushauri pia jiangalie labda kuna makosa unafanya katika selection na hivyo hilo kosa linajirudia na kukuletea matatizo yale yale! Care Lov.
 
Lizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi
kweli kabisa gaga, mara nyingine sisi wenyewe huwa na makosa ila hatuyaoni. Marafiki wanapotukimbia tunahisi ni wabaya bila kuangalia wapi tumewakosea.Unapokuwa na marafiki huna budi kuishi nae kutokana na vile yeye anapenda. Kuna marafiki wengine ukikutana nao wao ni kuongea porojo na kucheka tu. Hakuna jambo la maana mtakalojadili. Mtu kama huyo huna budi kwenda nae hvyo hvyo anavyopenda ili muweze kupatana.Kuna rafiki wengine ni wagumu kwenye kuwasiliana, mfano mzuri ni mimi mwenyewe, nina rafiki yangu hapigi simu hadi awe na shida au anataka kujua jambo flani, ukimtext umpe hi anaweza akauchuna na sometimes unaweza ukampigia umsalimie asipokee. Sijamchukulia kama ni rafiki mbaya pamoja na hiyo kero na tunaishi kama ambavyo yeye anapenda.Namshauri lizzy aishi na rafiki zake kutokana na wao wanavyopenda, asijaribu kuwafanya rafiki zake wafate matakwa yake maana ataishia kuwapoteza.
 
kweli kabisa gaga, mara nyingine sisi wenyewe huwa na makosa ila hatuyaoni. Marafiki wanapotukimbia tunahisi ni wabaya bila kuangalia wapi tumewakosea.Unapokuwa na marafiki huna budi kuishi nae kutokana na vile yeye anapenda. Kuna marafiki wengine ukikutana nao wao ni kuongea porojo na kucheka tu. Hakuna jambo la maana mtakalojadili. Mtu kama huyo huna budi kwenda nae hvyo hvyo anavyopenda ili muweze kupatana.Kuna rafiki wengine ni wagumu kwenye kuwasiliana, mfano mzuri ni mimi mwenyewe, nina rafiki yangu hapigi simu hadi awe na shida au anataka kujua jambo flani, ukimtext umpe hi anaweza akauchuna na sometimes unaweza ukampigia umsalimie asipokee. Sijamchukulia kama ni rafiki mbaya pamoja na hiyo kero na tunaishi kama ambavyo yeye anapenda.Namshauri lizzy aishi na rafiki zake kutokana na wao wanavyopenda, asijaribu kuwafanya rafiki zake wafate matakwa yake maana ataishia kuwapoteza.
#

watu tupo bizee tunajenga uadui nyie ndo kwanza mnatafta marafiki?
waswahili bana!
 
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.

Lizzy ulikuwa hujui?
Rafiki yangu wa karibu alinitenda mwenzio sasa sina hamu na rafiki mie...fikilia sana kabla hujaamua kuwa na rafiki
 
Back
Top Bottom