Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,432
- 42,538
Hapo mwenye makosa sio mama J, mwenye makosa ni wewe uliyeshindwa kumuangalia mwanao Kwa makini, haiwezekani mtoto afutiwe na dekio na wewe upo hapohapo unaangalia,,yaani how??hapo ulipowaza mkeo akifariki Mama J ataweza kweli kulea na kuangalia watoto Hilo swali jielekezee wewe binafsi,wewe ndio upo responsible Moja Kwa Moja kumlinda mwanao,mama J Hana uchungu hata robo na mwanao!,,halafu Tena unadiriki kusimulia na elf kumi ukampa?yaani dekio lilivyo na bakteria kweli ndio afutiwe binadamu sehemu za Siri?Nimeumia utasema huyo mtoto ni wangu aisee,huyo mtoto kafanyiwa unyanyasaji wa kisaikolojia mbele ya Mtu aliyetakiwa kumlinda,...Ungempeleka tu Kwa mama yake,kwanza mtoto mgonjwa anahitaji upendo wa mama yake unaanza kumpeleka Kwa manungayembe yasiyojua uchungu wa labour Kwa Nini lakini??...DEKIO? 🤔🤔🤔🥺🥺