geekizuri02
Member
- Oct 16, 2022
- 19
- 58
Hakuna kazi Rahisi, Kupata pesa inahitaji pesa. Kurisk pesa kiasi kwa mafanikio uko mbele sio kazi rahisi jamani… wenzangu na mie tunaobet tunaelewa hili kabisa. Unaweka mikeka 9 inapumua unaend kupika kaugali unashiba ukirudi tu hivi ni wewe pekee unaepumua tena kwa shida mno😆😂😂😂… Hamna janja janja ni kusoma na kuelewa masoko unaomba na bahat iwe upande wako🤲😓. Naombeni masoko ya uhakika hii leo nikabet tafadhali hali ni ngumu🥲