Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu kuna hii tabia ambayo sijui kama ni utandawazi au tunakiuka mila na desturi za Kitanzania.
naomaba mnisaidie hivi kuna umuhimu wowote wa kujua jinsia ya mtoto ukiwa mjamzito?
naomaba mnisaidie hivi kuna umuhimu wowote wa kujua jinsia ya mtoto ukiwa mjamzito?