belie
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 387
- 260
Habari zenu wapendwa, mimi najiulizaga sana hili swali? watu mmeshakaa kwenye mahusiano ikatokea mkakorofishana kila mtu akaendelea na maisha yake.
Je kuna umuhimu wa kuwasiliana tena?
Kama salam au hata maongezi ya hapa na pale.
Mimi kwa upande wangu naona kuwasiliana ni muhimu ili kuweza kujua wapi nilipokua nakosea nini nilitakiwa kufanya/kutofanya ili hata napopata mwingine nijirekebishe.
Embu tuambiane kidogo, especially wanaume mana nyinyi mkiachwa mnabadilisha hata namba za simu.
Nyie mnaonaje jamani ni sawa si sawa?
Je kuna umuhimu wa kuwasiliana tena?
Kama salam au hata maongezi ya hapa na pale.
Mimi kwa upande wangu naona kuwasiliana ni muhimu ili kuweza kujua wapi nilipokua nakosea nini nilitakiwa kufanya/kutofanya ili hata napopata mwingine nijirekebishe.
Embu tuambiane kidogo, especially wanaume mana nyinyi mkiachwa mnabadilisha hata namba za simu.
Nyie mnaonaje jamani ni sawa si sawa?