Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 3,813
- 11,975
Polisi wako vizuri. Magaidi hata Marekani wanaingia. Ulinzi ni kazi ngumu kweli kweli.
Polisi wako vizuri. Magaidi hata Marekani wanaingia. Ulinzi ni kazi ngumu kweli kweli.
ongezea na STPUKazi gani wewe?
Ungekuwa na hiyo kazi basi ungejua kitengo Cha usalama ndani ya jeshi la polisi ni Moja ya kitengo kilicho jitosheleza kabisa.
Polisi Wana:
1)Upelelezi(CID)-Upelelezi
2)Intelligence-Ushushushu
3)GD
4) Traffic
5) Bandari
6)Marine
7)Utalii
8) FFU
8)Ant Robbery Unit
Nashukuru mkuu kwa nyongeza yakoongezea na STPU
kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo
ongezea na STPU
kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo
Ant terroristKazi gani wewe?
Ungekuwa na hiyo kazi basi ungejua kitengo Cha usalama ndani ya jeshi la polisi ni Moja ya kitengo kilicho jitosheleza kabisa.
Polisi Wana:
1)Upelelezi(CID)-Upelelezi
2)Intelligence-Ushushushu
3)GD
4) Traffic
5) Bandari
6)Marine
7)Utalii
8) FFU
8)Ant Robbery Unit
Mbwembwe nyingi,Kazi gani wewe?
Ungekuwa na hiyo kazi basi ungejua kitengo Cha usalama ndani ya jeshi la polisi ni Moja ya kitengo kilicho jitosheleza kabisa.
Polisi Wana:
1)Upelelezi(CID)-Upelelezi
2)Intelligence-Ushushushu
3)GD
4) Traffic
5) Bandari
6)Marine
7)Utalii
8) FFU
8)Ant Robbery Unit
Ongezea na CRTKazi gani wewe?
Ungekuwa na hiyo kazi basi ungejua kitengo Cha usalama ndani ya jeshi la polisi ni Moja ya kitengo kilicho jitosheleza kabisa.
Polisi Wana:
1)Upelelezi(CID)-Upelelezi
2)Intelligence-Ushushushu
3)GD
4) Traffic
5) Bandari
6)Marine
7)Utalii
8) FFU
8)Ant Robbery Unit
Mkuu Tanzania hatuna idara ya Polisi, tuna jeshi la Polisichini ya kapuni unajua idara ya polisi mpaka kushtuliwa kuwa kibiti kuna ugaidi na wenyewe walikili baada kupata ripoti ubalozi USA.
ukibisha basi unalako
Depo ndio nini?
Ila ni aibu kwa member wa jamii forum kutojua kitengo Cha usalama ndani ya jeshi la polisi kipo.
Ni aibu, ni fedheha
Eti anakuja na issue ya mapanga
Bora hata ungeuliza wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe kule burundi dawa na matibabu walikuwa wanapata kutokea mpaka Gani?
N.B siwapendi polisi na upolisi ila mtu mjinga kama huyu ni aibu kwa jamii yake
Hajui kitu huyu achana naye Mkuu.Unafahamu kitengo Cha intelijensia ya polisi?
Unajua ni Moja ya chombo Bora kwenye kukusanya taarifa za kiintelijensia hapa nchini?
Unafahamu ukubwa na majukumu yao?
Sasa hii ni shida ya police?KENYA: Polisi wanawashikilia Abdirahman Shaffi Mkwatili(25) na Sadam Jafari Kitia(30) waliokiri walikuwa wakielekea kujiunga na #AlShabaab, baada ya kuwakamata Julai 12, 2023 wakiwa na daftari lililoandikwa kwa Kiswahili ambalo linadaiwa walikuwa wakitumia kuwaongoza kutoka #Tanzania hadi Jilib, #Somalia
Kukamatwa kwao kumekuja Wiki 2 baada ya Watanzania wengine watatu, Abdul Saif Salimu, Zuberi Ngare Mtondoo na Seif Abdalla Juma, waliodaiwa kuwa katika harakati za kujiunga na kundi hilo kukamatwa Nchini Kenya kufuatia taarifa za Wananchi
Soma Watanzania wakamatwa Kenya wakiwa njiani kwenda kujiunga na Al Shabaab
#JamiiForums
Soma hapo