Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,744
Kuna makala moja nilipitia BBC nikaona kiongozi wa kundi la kigaidi uganda alipokimbia kwao na kuja Tz kuishi mpaka serikali ya uganda ilipowashtua Tz ndio wakashtuka.
Mnakumbuka kipindi cha kibiti na mkuranga na ili nalo mpaka ubalozi wa marekani na watu binafsi ila mpaka mda wote kulikuwa na kambi za kutosha wakiwa wemejiimalisha.
Kuna umuhimu kitengo cha polisi kuwa na idara ya usalama wa ndani kinacho deal na ukachero na upelelezi tu kupata rekodi.kupunguza majukumu ambayo polisi anakazi zote wakati mmoja.
Ndio maana wakikukamata wao ni rungu tu ndio maana watu wanashinda kesi bila kuwa na vielelezo vya kutosha.
Mnakumbuka kipindi cha kibiti na mkuranga na ili nalo mpaka ubalozi wa marekani na watu binafsi ila mpaka mda wote kulikuwa na kambi za kutosha wakiwa wemejiimalisha.
Kuna umuhimu kitengo cha polisi kuwa na idara ya usalama wa ndani kinacho deal na ukachero na upelelezi tu kupata rekodi.kupunguza majukumu ambayo polisi anakazi zote wakati mmoja.
Ndio maana wakikukamata wao ni rungu tu ndio maana watu wanashinda kesi bila kuwa na vielelezo vya kutosha.