Kuna uhusiano gani kati ya damu ya hedhi na mboga/majani kukauka?

sasa " wema unatokea wapi " mkuu wakati " sumu ipo ndani yenu " "mmoja wa wachangiaji hapo amesema ...mwanamke akiwa hedhi " hupaswi kugusa chochote kile " ambacho amekitumia...means hata kama huwa unalala nae pamoja..itakubidi ulale chini au uhame room""......achilia mbali mapishi anayoyapika ..na vyombo avituavyo "" bado mavazi yko ambayo huwa anakuandalia ili uende kazini ....na nikaona na wewe ume mquote kwa na kuushukuru uchamubuzi "" wake " means na wew umekubali na kuitambua " athari mliyonayo...halafu this time wasema sio wote "" wengine kina nyie ni wema...""

hivi sijakuelewa vizuri...au wewe ndiye hujanielewa ...??.hahaa
Ndugu naomba ujiridhishe na hiyo mistari aliyoisema ndivyo ilivyo kwenye kitabu?
 
Hili swala hata Bibi yangu (R.I.P) alikuwa akigombana na Wanawake waliokua wakiingia shamba kuchuma mboga, sema mi ndo nilikuwa sielewi, ila mara nyingi nikimuuliza mbona unakuwa mkali, akinijibu, "wanaingia kuchuma na mambo yao kisha mboga zangu zinakauka", binafsi nikawa nahisi ni washirikina kumbe alikuwa akimaani hedhi!!!!?

Daaaaahh! Mshana Jr njoo mara moja
Kabisaaa
 
yanakausha baraka na neema zote mmmmh ukakasi....kama ni hivyo why Mungu aruhusu hicho kitu kiwepo kwa wanawake...kwahiyo wake zenu wakiwa period hawasali??? makubwa
Vizuri sana, sasa tujiulize mungu angezuua hii hali, damu ikawa haitoki, ingekuwaje!?
 
Swali kama hilo ukiwauliza Wanasayansi majibu yao yatakufanya ucheke,, utasikia wanasema kuna muingiliano wa mionzi kati ya ile inayorutubisha mmea na kuratibu ukuaji na ile inayosababisha hedhi, kwahiyo muingiliano huu hutengeneza mionzi haribifu 'destructive rays' ambayo kwa kitaalam inaitwa prosktreus rays ambayo huathiri mmea na hatimaye kufa.
Kila swali wanajifanya wana majibu yake.. ha ha ha haaaa
 
Swali kama hilo ukiwauliza Wanasayansi majibu yao yatakufanya ucheke,, utasikia wanasema kuna muingiliano wa mionzi kati ya ile inayorutubisha mmea na kuratibu ukuaji na ile inayosababisha hedhi, kwahiyo muingiliano huu hutengeneza mionzi haribifu 'destructive rays' ambayo kwa kitaalam inaitwa prosktreus rays ambayo huathiri mmea na hatimaye kufa.
Kila swali wanajifanya wana majibu yake.. ha ha ha haaaa
hahahha vipi hujawah kusikia hii kitu
 
Sasa hivi nimesikia mtoto anahojiwa siku ya kwanza ingia hedhi Bibi Ake alimuambia akiwa hedhi asiende shambani maana mazao yatakauka, yawezekana hili linaukweli ndani yake
 
Sasa hivi nimesikia mtoto anahojiwa siku ya kwanza ingia hedhi Bibi Ake alimuambia akiwa hedhi asiende shambani maana mazao yatakauka, yawezekana hili linaukweli ndani yake
Yawezekana kabisa
 
Inapotokea mwanaume akaingiliana mwanamke akiwa kwenye hedhi au katoka kwenye hedhi karibu, udhoofisha misuli ya uume na kuleta udhaifu wakati wa kujamiiana. Hivyo, inatakiwa tahadhari kubwa wakati kutekenya pango la asili.
Dawa yake nini,mana nimekutana na hicho kitu aisee,nikasema huyu binti mchawi.
 
Mh mambo mengine ya ajabu..
Sasa damu ipo ndani ndani humo kwenye pichu inahusianaje na mboga/majani?
 
Back
Top Bottom