Kuna ubaya gani Zanzibar ikajitenga na kuwa huru kama Zamani?

..hivi ni nani aliyewazuia CUF kupeleka hoja ya kufanyika kwa referendum? mimi nadhani haya manunguniko ya CUF dhidi ya muungano ni siasa tu.

..Hamad Rashid, ambaye ni kiongozi mkuu wa upinzani bungeni Dodoma, yuko huku bara na biashara yake ya vyuma chakavu. akirudi kwa washabiki wake Pemba anawajaza ujinga kwamba Muungano ni mbaya.
 
..hivi ni nani aliyewazuia CUF kupeleka hoja ya kufanyika kwa referendum? mimi nadhani haya manunguniko ya CUF dhidi ya muungano ni siasa tu.

..Hamad Rashid, ambaye ni kiongozi mkuu wa upinzani bungeni Dodoma, yuko huku bara na biashara yake ya vyuma chakavu. akirudi kwa washabiki wake Pemba anawajaza ujinga kwamba Muungano ni mbaya.

Kuna wabunge wa CCM zanzibar ni wake zao na watoto ni wakimbizi UK na Canada so what is your point? CUF wanashindwa kufikisha muswada wa muungano bungeni kwanza kwasababu kwanza wabunge wa upinzani bungeni ni kidogo na pili wabunge wa CCM zanzibar wakifika dodoma huwa kama mabubu kwa kuhofia kuharibu kitumbua chao unadhani muswada wa muungano utapita?

Na hata wakifanya kutafuta maoni CCM wanacheza rafu tu hamna zaidi
 
You dont know who you mess With....haa...ujinga mtupu...
kwa kifupi hat itawale CCJ kwenye muungano hamto weza kuvunja...
 
You dont know who you mess With....haa...ujinga mtupu...
kwa kifupi hat itawale CCJ kwenye muungano hamto weza kuvunja...

Mh sidhani inaelekea hizi ni kauli za kukata tamaa baada kushindwa hoja. Nimewahi kusema katika thread zangu hakuna kitu kinachokaaa milele ni mmungu tu ndio wa milele. Hivyo basi kama muungano uliwekwa na binaadamu iko siku utakufa au utabadilishwa kimpangilio lakini hiyo statement yako ni dhaifu na for your information watakao ubadilisha ni sisi vijana we subiri time will tell
 
You dont know who you mess With....haa...ujinga mtupu...
kwa kifupi hat itawale CCJ kwenye muungano hamto weza kuvunja...
Umevunjika muungano wa USSR ambao ulitamba duniani kote. Itakuwa huu muungano wa TZ, ambao umechukua chati kwa ubovu na umasikini duniani,hee?
 
Toa mawazo basi ya nini kifanyike muungano uwe imara zaidi? Na je hizo measures zikishindikane nini kifanyike? Na je wale wanaoiombea dua mbaya muungano (which i am one of them) tunahoja gani zijibiwe. Sasa unatafuta sympathy mzee???

Hakuna anayetaka ubaya ni kwamba kitu kinafaida na wewe kama unakihitaji na kiufupi kimtazamo wangu I think zanzibar ingelikuwa better without muungano. Nikipata nafasi nitakushukia kwanini nasema hivyo katika uchumi
Muungano uko imara. Hizi kelele ni za mpito tu kwa sababu ya ukosefu wa uongozi imara kwene serikali ya Muungano na njaa inayowakabili Wazanzibari. Neema ikiingia na tukawa na kiongozi imara yote haya yataisha. Kinachotakiwa kufanyika kwa haraka hivi sasa ni kuondoa vizuizi vya waBara kufanya shughuli visiwani hasa wale wenye mitaji ili wasaidie kuongeza ajira visiwani na kuweka wazi maazimio yote ya Muungano yaliyokubaliwa na kama yapo ya kuongezwa/kurekebishwa yaongezwe na kuwekwa wazi. Usiri usiri ndio unaowafanya watu waamini uongo wa wanafiki na kufikiri kuwa Wazanzibari wanaonewa.
 
Muungano uko imara. Hizi kelele ni za mpito tu kwa sababu ya ukosefu wa uongozi imara kwene serikali ya Muungano na njaa inayowakabili Wazanzibari. Neema ikiingia na tukawa na kiongozi imara yote haya yataisha. Kinachotakiwa kufanyika kwa haraka hivi sasa ni kuondoa vizuizi vya waBara kufanya shughuli visiwani hasa wale wenye mitaji ili wasaidie kuongeza ajira visiwani na kuweka wazi maazimio yote ya Muungano yaliyokubaliwa na kama yapo ya kuongezwa/kurekebishwa yaongezwe na kuwekwa wazi. Usiri usiri ndio unaowafanya watu waamini uongo wa wanafiki na kufikiri kuwa Wazanzibari wanaonewa.
Hivyo ehh unataka kuniambia solution ya Zanzibar watanzania bara wawatawale halafu wazanzibar wawe vinyapara what a narrow minded thinker. Kwanza hakuna mbara anaekewa vizuizi Zanzibar nishawahi kusema nyuma kuwa Mimi ni mtanganyika na nimewekeza znz Sina tabu yeyote hivyo kama nawe unataka kuwekeza nenda Mzee!!! Na nimeshakugundua wewe sio mzanzibari kabisa huwezi kuwa na mtazamo wa kikoloni Kama huu!!!

Zanzibar bwana solution ni kwanza kila mmoja ayakubali makosa Kama yapo ktk usulutani na utumwa na mauaji ya halaiki ya mwaka 1964. Ikimalizika hapo wawe kitu kimoja katika kuijenga nchi yao kwani kuna wazanzibari ( Tena wako proud na uzanzibari wa nje) waje kuiendeleza nchi yao. Colonization from Tanzania bara has to come to an end. Kwani karume alipoungana na Nyerere alifanya hivyo out of fear ya kuogopa kupinduliwa na alijua kwakuwa asp ni Chama chenye wanachama Wengi watanganyika angelipata support.
Kuna watakaosema sultani atarudi. Mie naungana na rais salmin kuwa sasa hivi sultani sio kiongozi Bali ni raia Kama wengine hivyo basi anakaribishwa Kama raia mwengine but wako wazanzibari ni matajiri katika level ya world class (mmoja wao bakhressa) wanashindwa kuekeza znz simply due to siasa na uadui uliopo ijapokuwa bakhressa anajitahidi but wanahitajika kumi Kama hao wawekeze znz. Wakifanya hivyo watatoa ajira kwa wazanzibari na nchi itakuwa na mzunguko wa kipesa namaendeleo yataonekana
 
Hivyo ehh unataka kuniambia solution ya Zanzibar watanzania bara wawatawale halafu wazanzibar wawe vinyapara what a narrow minded thinker. Kwanza hakuna mbara anaekewa vizuizi Zanzibar nishawahi kusema nyuma kuwa Mimi ni mtanganyika na nimewekeza znz Sina tabu yeyote hivyo kama nawe unataka kuwekeza nenda Mzee!!! Na nimeshakugundua wewe sio mzanzibari kabisa huwezi kuwa na mtazamo wa kikoloni Kama huu!!!

Zanzibar bwana solution ni kwanza kila mmoja ayakubali makosa Kama yapo ktk usulutani na utumwa na mauaji ya halaiki ya mwaka 1964. Ikimalizika hapo wawe kitu kimoja katika kuijenga nchi yao kwani kuna wazanzibari ( Tena wako proud na uzanzibari wa nje) waje kuiendeleza nchi yao. Colonization from Tanzania bara has to come to an end. Kwani karume alipoungana na Nyerere alifanya hivyo out of fear ya kuogopa kupinduliwa na alijua kwakuwa asp ni Chama chenye wanachama Wengi watanganyika angelipata support.
Kuna watakaosema sultani atarudi. Mie naungana na rais salmin kuwa sasa hivi sultani sio kiongozi Bali ni raia Kama wengine hivyo basi anakaribishwa Kama raia mwengine but wako wazanzibari ni matajiri katika level ya world class (mmoja wao bakhressa) wanashindwa kuekeza znz simply due to siasa na uadui uliopo ijapokuwa bakhressa anajitahidi but wanahitajika kumi Kama hao wawekeze znz. Wakifanya hivyo watatoa ajira kwa wazanzibari na nchi itakuwa na mzunguko wa kipesa namaendeleo yataonekana
Zanzibar hapajawahi kuwa na mauji ya makusudi zaidi ya yale yaliyofanywa na sultani enzi za utawala wake pamoja na utumwa. Vifo vilivyofuatia mapinduzi ni matokeo ya kubadilisha utawala kwa nguvu (mapinduzi) ambao waliokuwa wanayapinga ndio yakawafika.

Watanzania bara kuwekeza visiwani sio ukoloni bali ndio kinachohitajika hivi sasa ili kuongeza ajira na kudumisha Muungano. Watu kama Mengi wangeweza kuwekeza Zanzibar lakini wanashindwa kwa vikwazo vya chini chini vinavyowekwa kwa wabara na SMZ. Pemba tuna maembe mazuri kuliko yoyote niliyowahi kuonja, lakini ni nadra sana kuyaona bara kwenye soko kubwa. Sea weed ni zao lenye bei nzuri sana duniani, lakini ni waarabu wachache na wahindi wanaomiliki hiyo biashara Znz. Tatizo la Muungano ni la watu kujifungia kwenye maeneo yao na kuogopana na kufanya wasiaminiane. Hii mipaka bandia inayolindwa na watu wenye maslahi binafsi ya kuondoa ushindani kwenye biashara zao ndio yanayoleta shida Znz.
 
Zanzibar hapajawahi kuwa na mauji ya makusudi zaidi ya yale yaliyofanywa na sultani enzi za utawala wake pamoja na utumwa. Vifo vilivyofuatia mapinduzi ni matokeo ya kubadilisha utawala kwa nguvu (mapinduzi) ambao waliokuwa wanayapinga ndio yakawafika.

Watanzania bara kuwekeza visiwani sio ukoloni bali ndio kinachohitajika hivi sasa ili kuongeza ajira na kudumisha Muungano. Watu kama Mengi wangeweza kuwekeza Zanzibar lakini wanashindwa kwa vikwazo vya chini chini vinavyowekwa kwa wabara na SMZ. Pemba tuna maembe mazuri kuliko yoyote niliyowahi kuonja, lakini ni nadra sana kuyaona bara kwenye soko kubwa. Sea weed ni zao lenye bei nzuri sana duniani, lakini ni waarabu wachache na wahindi wanaomiliki hiyo biashara Znz. Tatizo la Muungano ni la watu kujifungia kwenye maeneo yao na kuogopana na kufanya wasiaminiane. Hii mipaka bandia inayolindwa na watu wenye maslahi binafsi ya kuondoa ushindani kwenye biashara zao ndio yanayoleta shida Znz.

Mzee unakuwa kama hujasoma economics kawaida ukiita mwekezaji mahali anakuja na policy zake na pia na nyie mnakuwa na policy zenu. Sasa ukisema waende wabara wapunguziwe vikwazo unakua huelewi kwamba anapoitwa mbara kuwekeza zanzibar ni kwamba atakuja na management team yake, wafanyakazi wake (kwa kisingizio wazanzibar hawana ujuzi wa kutosha) na mwishoe na ile pesa inayopatikana pale haizunguki kwani inavuka maji kwenda tanzania bara. Kimsingi zanzibar inahitaji wazanzibar wenye pesa kuwekeza zanzibar. Mengi ana hela sidhani labda useme mengi ana madeni mengi. Kuna akina bakhressa ambao ni wazawa wa zanzibar ambao wanapesa za kutosha kufungua viwanda zanzibar. Hawa kazi watatoa kwa wazanzibari na faida ya investment zao itabakia zanzibar na sio kuvuka maji kuja tanganyika.

Likewise kwenye list ya matajiri wako matajiri mfano yule jamaa wa oilcom inasemekana jamaa zake wengi ni watu kutoka pemba na unguja na tanga. Kuna jamaa mmoja yuko saudia ana pesa kama nini inasemekana ana visima vya mafuta baba yake ni mzawa wa zanzibar. Akina muzamil (kama unawajua) wana viwanda vyao pakistani na hong kong. Hawa wakiridhishwa mtazamo wa amani na maendeleo ya zanzibar watarudisha vitega uchumi vyao zanzibar hivyo kuirutubisha zanzibar. Na usisahau zanzibar pia kuna watu wana pesa kwa biashara zao haramu za unga (tunawastahi tu maana it is none of business). Hawa wote wakirudi zanzibar nakuhakikishia ipe zanzibar miaka 10 itabadilika.

Tanzania bara waende kama wawekezaji wengine kwani nao ni watanzania kama walivyo wazanzibar but wasipewe upendeleo wowote kwasababu sioni faida yao badala yake wapewe upendeleo kwanza wazanzibari wenyewe.
 
Zanzibar hapajawahi kuwa na mauji ya makusudi zaidi ya yale yaliyofanywa na sultani enzi za utawala wake pamoja na utumwa. Vifo vilivyofuatia mapinduzi ni matokeo ya kubadilisha utawala kwa nguvu (mapinduzi) ambao waliokuwa wanayapinga ndio yakawafika.

Watanzania bara kuwekeza visiwani sio ukoloni bali ndio kinachohitajika hivi sasa ili kuongeza ajira na kudumisha Muungano. Watu kama Mengi wangeweza kuwekeza Zanzibar lakini wanashindwa kwa vikwazo vya chini chini vinavyowekwa kwa wabara na SMZ. Pemba tuna maembe mazuri kuliko yoyote niliyowahi kuonja, lakini ni nadra sana kuyaona bara kwenye soko kubwa. Sea weed ni zao lenye bei nzuri sana duniani, lakini ni waarabu wachache na wahindi wanaomiliki hiyo biashara Znz. Tatizo la Muungano ni la watu kujifungia kwenye maeneo yao na kuogopana na kufanya wasiaminiane. Hii mipaka bandia inayolindwa na watu wenye maslahi binafsi ya kuondoa ushindani kwenye biashara zao ndio yanayoleta shida Znz.

Unaposema zanzibar hapakuwa na mauaji ya maksudi kama yale ya usultani unamaanisha kivipi je unazo statistics za kujustify argument zako?? Pia una evidence kutuonyesha kuwa zanzibar waliuwawa watu wengi kuliko mapinduzi. Kama huna bora ukae kimya kama mie tu kwani mie naizungumzia mapinduzi na sigusi utumwa kwasababu nilisoma katika vitabu nilipokuwa skuli (primary), tukaimba sana mapinduzi daima kumi na mbili january 1964 na wimbo wa nyerere na karume walivyokuwa shupavu kuwaondoa wasultani asubuhi saa kumi na mbili na baridi kali kinoma!!!! But here is the most interesting part kwanza vitabu vinaelezea one side of the story unyonyaji na utumwa (A typical socialist ideology of dogmatism). Isitoshe vimeandikwa na muingereza hatujui alikuwa na chuki gani na waarabu. Nivyawafahamu waingereza wanapenda kuwagawanya ili apate kuwatawala vizuri hata yuko kwake uingereza. Sasa je vitabu vilivyoandikwa na washirazi na waarabu viko wapi? Hebu jiulize maswali haya kubwajinga then uje na statement hii
 
16.jpg
 
Mh sidhani inaelekea hizi ni kauli za kukata tamaa baada kushindwa hoja. Nimewahi kusema katika thread zangu hakuna kitu kinachokaaa milele ni mmungu tu ndio wa milele. Hivyo basi kama muungano uliwekwa na binaadamu iko siku utakufa au utabadilishwa kimpangilio lakini hiyo statement yako ni dhaifu na for your information watakao ubadilisha ni sisi vijana we subiri time will tell

kama umezoea kuoa na kuacha sisi tulio wengi hautuwezi...
 
Tuwe na mawazo mapana kidogo. kutokana na hali ya dunia ilivyo sasa hivi, umoja ni muhimu kuliko wakati mwingine wowote. Uchumi wa nchi moja moja tena masikini hauwezi kufika popote. Sasa hivi ni muda muafaka sio tu kuongea muungano wa Tannganyika na Zanzibar bali tunatakiwa tuongee juu ya Political and economical federation ya nchi EA au ikiwezekana SADEC. Tukivunja Muungano leo kabla ya masaa 24 Pemba nao watajitangazia Jamhuri. Uu Muungano ndio unaounganisha watu hawa. Tutakuwa tumefanya kosa kubwa lisilosameheka kama tutavunja Muungano. Idadi kubwa ya watanzania wamezaliwa baada ya Muungano, hivyo hoja za kuvunja Muungano zina maslahi binafsi zaidi ya maslahi ya taifa.
 
Marekani unafahamu ziko Nchi ngapi zilizoifanya kuwa - ( United State of America)
Sasa nakujulisha ziko Nchi 52. Ndiyo inaitwa Amerika.
Ulaya wameungana na hata kuwa na pesa yao yaani EURO.
Tanganyika na Zanzibar ziliungana kwa ridhaa ya sehemu zote mbili Tanganyika na zanzibar, Ikaitwa Tanzania.
Wewe unayelisemea hili nadhani wakati yote haya yanafanyika wewe hukuweko Duniani.
Ujue Mkishawachagua Viongozi hufanyamambo kwa matakwa ya wananchi na sio vinginevyo.
Hayo unayoyasema kama yatatokea basi Utaamini kuwa waliofanyakazi ya kuunganisha Nchi hizo walikuwa na akili ya kuona mbeli tofauti na wewe.
Usisahau kuwa mtu wa Bara ni vigumu kupata hata Kiwanja cha kujenga Zanzibar, Lakini Wazanzibar wengi wanaviwanja bara pamoja na majumba makubwa mbakubwa zikiwepo gorofa.
Hilo watu wa bara hawajasema lolote.
Wazanzibar ni Ndugu zetu sisi hatuna matatizo waje bara Viwanja Vipo, Wajenge na kufanyabiashara kubwa kubwa.
Ujue zanzibar wanazaliana pindi kwao kukijaa wanakaribishwa sana bara.
Moja wapo ya kuungana ni pamoja kuhakikisha tunakuwa na uhusiano mzuri na kupeana nafasi ya maisha ikiwa ni pamoja na Ardhi.

Unayedai Tuvunje Muungano huwatakiimema Wazanzibar.
Wazanzibar bara yako Mikoa yote na ni Watu Wema hawana Matatizo.
Na ninyi Wazanzibar Potoshweni na wahuni wachache muiache pepo yenu.
Ninyi mko kwenye pepo, Kama hamuamini Jitengeni, Au Vinjeni Muungano, Joto litawawakia hamtoweza kurudinyuma kamwe.
Mtalia na kusagameno.
Jihadharini ndugu zanguni.
 
Back
Top Bottom