Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Halafu mie nikibadili ujuzi hubby unachonga wakati wee walamba hadi kindergatern?
Sisi wanaume tunaruhusiwa ! Niulize kwa nini ?
Sababu sisi hatuendagi pale clinic huku tunamung'unya miubuyu, miukwaju, minini !
Ukicheza mechi ya ugenini hauruhusu nyavu kutingishika.... Halafu hiyo sababu uliyonipa ya kibinafsi sana,
nina mpango wa kupeleka hoja binafsi ya ndoa ya mke mmoja waume wengi
Ukicheza mechi ya ugenini hauruhusu nyavu kutingishika.... Halafu hiyo sababu uliyonipa ya kibinafsi sana,
nina mpango wa kupeleka hoja binafsi ya ndoa ya mke mmoja waume wengi
Kataa/kubali uselfish hauhusiki hapa !
Hapa Judgement (not me) inayotuhukumu ni bayoloji zetu! Population statistcs nalo ni tatizo!
Hivi unaelewa accordin from world population data katika kila binadamu 10 waliopo world 7 ni She na 3 He, ndiyo 70 kwa 30 katika 100!
Kwanza unijibu kama hii details unaikubali thn nikupe moja la uzima.
Unaishi jimbo gani? Huku kwetu ruksa, ila umudu kuwatunza.
Halafu mie nikibadili ujuzi hubby unachonga wakati wee walamba hadi kindergatern?