Dini mbalimbali zinapinga mpira wa miguu na kusema ni satanic. Mpira unahusishwa na freemasonry ambapo logo mbalimbali zimesemwa kuwa na nembo za kishetani ndani yake. Wengine wameenda mbali na kusema mpira ni Ibada na waumini ni mashabiki.
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?
Licha ya hili football bado inabaki kuwa mchezo pendwa duniani kote mpaka kwa Waarabu wapenda dini wamelevywa na mpira wa miguu na kuenda zaidi mpaka kuzinunua timu ulaya na kufanya uwekezaji mkubwa huko wakati waarabu na wazungu ni paka na panya.
Je, kuna siri gani kwenye mpira?