Msala dada yangu. Tukisemwa na watu weupe tunaanza kulialia. Watatuheshimu vp ikiwa tunashindwa kujiletea maendeleo na kujisimamia?Elimu elimu elimu elimu
Msala dada yangu. Tukisemwa na watu weupe tunaanza kulialia. Watatuheshimu vp ikiwa tunashindwa kujiletea maendeleo na kujisimamia?Elimu elimu elimu elimu
Kumbe kusomea udaktari hadi wazazi wawe vizuri kifedha?Kada imekua Cha wote, Ili mradi wazazi wako Wana Pesa unakua Daktari.
Mitihani yao ya Kidato Cha sita Sasa ,unashika mtihan unajiuliza, Hii ndo Paper 1 na 2 ya Physics ?. wanatungiwa mitihan myepesi sana.
Haya, Private schools nazo zinashindana kufaulisha basi Wizi juu ya wizii ,maswali yanasoviwa chap, wanapewa wanafunzi chap ,wanajibu chapchap wanapiga One.
Hujatulia kidogo... Wazuri wa Elimu anataka kumfurahisha Rais, "Mama Sa100 kafanya watoto wamefaulu sana ". .... Siasaaa siasaa hizi .
Angalieni matokeo ya Kidato Cha sita ya Mwaka 2021 baada ya Rais Sa100 kushuka kijiti..... Ilikua ni miezi miwili ya yeye kua MADARAKANI, ila Sasa , Matokeo yakapikwa pikwaa, kuonyesha kua MIEZI MICHACHE TUU TAYARI KABADILISHA ELIMU, SASA WANAFAULU
Kwanini hampeleki kesi mahakamani? Hizo ni kesi za kushinda mapema kabisa ingawaje ndiyo umeshapoteza mpendwa wako.wee huko kidogo mama yangu mdogo alale yooo, eti professional doctor akasahau kushona ngozi ya ndani sijui ila nakumbuka aliteseka sana almost a year.
Daktari hazuii kifo ila anaweza kusababisha kifo.hivi daktari anazuia kifo au la? na je nani ana uwezo wa kujua sababu ya kifo?
Risk inakua wapiOperation zimekuwa nyingi siku hizi sababu watu wanachelewa kuzaa
Ni risk sana kumzalisha kwa kawaida mwanamke wa miaka 30 ambaye ndie anaanza kuzaa first born wake.
Ndio maana operation nyingi
Kiwete mungu afanye yake tusahau habari zakeHilo siyo tatizo. Pitia takwimu.
Kikwete aipongeza Serikali vifo vya wajawazito kupungua
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete ameipongeza Serikali kwa kufanikiwa kupunguza vifo vya akinamama wajawazito kutoka vifo 556 mwaka 2016 hadi kufikia vifo 104 mwaka 2022. Dkt. Kikwete amesema hayo leo wakati akifungua kongamano la pili la kisayansi la afya ya uzazi mama na mtoto...www.jamiiforums.com
Wewe si ulikua unamshabikia mpumbavu mkubwa weweWewe usifananishe kila kitu na marehemu.
Unakuwa Kama kipofu aliyeona punda.
Majanga ya madeni ya kijinga aliyotuingiza yule bwana saa hizi pesa tunazolipia nadeni yake ya kijinga zingesaidia sehemu kubwa sana ya Watanzania.
Tukubali tu, alikuwa na nazuri yake machache na alikuwa na makosa yake mengi tu.
why mlazimishe kuzaa kwa operation? Yani imekua fashion these days...operation ilikua kwa cases chache ambazo daktari aliona afanye ili kuokoa maisha baada ya natural birth kushindikana...
Au watu wanaumwa magonjwa wanaogopa kuambukiza watt wao? Au Maana kila unaemsikia operation
Tatizo ni siasa uchwara kila mahaliMsala dada yangu. Tukisemwa na watu weupe tunaanza kulialia. Watatuheshimu vp ikiwa tunashindwa kujiletea maendeleo na kujisimamia?
Kwa lugha yako tu jamii imeshajionea mpumbavu ni nani .Wewe si ulikua unamshabikia mpumbavu mkubwa wewe
Kwani ma intern ndo wameingia kazini?Inaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.
Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..
Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..
Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..
Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..
Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...
Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.
Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.
Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..
AMEN.
Kada imekua Cha wote, Ili mradi wazazi wako Wana Pesa unakua Daktari.
Mitihani yao ya Kidato Cha sita Sasa ,unashika mtihan unajiuliza, Hii ndo Paper 1 na 2 ya Physics ?. wanatungiwa mitihan myepesi sana.
Haya, Private schools nazo zinashindana kufaulisha basi Wizi juu ya wizii ,maswali yanasoviwa chap, wanapewa wanafunzi chap ,wanajibu chapchap wanapiga One.
Hujatulia kidogo... Wazuri wa Elimu anataka kumfurahisha Rais, "Mama Sa100 kafanya watoto wamefaulu sana ". .... Siasaaa siasaa hizi .
Angalieni matokeo ya Kidato Cha sita ya Mwaka 2021 baada ya Rais Sa100 kushuka kijiti..... Ilikua ni miezi miwili ya yeye kua MADARAKANI, ila Sasa , Matokeo yakapikwa pikwaa, kuonyesha kua MIEZI MICHACHE TUU TAYARI KABADILISHA ELIMU, SASA WANAFAULU
Hapo umedakia tuu .. ila ukitafakari point yake ameongelea kuzorota kwa uwajibikaji wa serikali/watumishi wa uma.Wewe usifananishe kila kitu na marehemu.
Unakuwa Kama kipofu aliyeona punda.
Majanga ya madeni ya kijinga aliyotuingiza yule bwana saa hizi pesa tunazolipia nadeni yake ya kijinga zingesaidia sehemu kubwa sana ya Watanzania.
Tukubali tu, alikuwa na nazuri yake machache na alikuwa na makosa yake mengi tu.
Hawa wa sasa hawafaulu wanapitishwa tu kila mtu awe na cheti.Kada imekua Cha wote, Ili mradi wazazi wako Wana Pesa unakua Daktari.
Mitihani yao ya Kidato Cha sita Sasa ,unashika mtihan unajiuliza, Hii ndo Paper 1 na 2 ya Physics ?. wanatungiwa mitihan myepesi sana.
Haya, Private schools nazo zinashindana kufaulisha basi Wizi juu ya wizii ,maswali yanasoviwa chap, wanapewa wanafunzi chap ,wanajibu chapchap wanapiga One.
Hujatulia kidogo... Wazuri wa Elimu anataka kumfurahisha Rais, "Mama Sa100 kafanya watoto wamefaulu sana ". .... Siasaaa siasaa hizi .
Angalieni matokeo ya Kidato Cha sita ya Mwaka 2021 baada ya Rais Sa100 kushuka kijiti..... Ilikua ni miezi miwili ya yeye kua MADARAKANI, ila Sasa , Matokeo yakapikwa pikwaa, kuonyesha kua MIEZI MICHACHE TUU TAYARI KABADILISHA ELIMU, SASA WANAFAULU
alitaka kuwashtaki naona hosp waliongea nae akaacha lakini ni kweli wa tanzania tunakosa hela kizembe hapo angekomaa nao angepata hela ndefu tatizo ukifika kwa mwanasheria anakwambia kufile kesi ni milioni tatu sasa ni watu wangapi wana hiyo pesa.Kwanini hampeleki kesi mahakamani? Hizo ni kesi za kushinda mapema kabisa ingawaje ndiyo umeshapoteza mpendwa wako.
Lakini angalau madaktari wakianza kushtakiwa kwa kusababisha kifo kwa uzembe watakuwa makini.
Hapo mimi huwa siendi kichwakichwa. Wife akibeba mimba tu namkabidhi Doctor France mapema anamhudumia mpaka siku ya kujifungua.Meter hospital Mbeya ni hatari
Wizara ya Afya Tanzania Njooni mtupe majibu akina mama. WanaangamiaInaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.
Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..
Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..
Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..
Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..
Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...
Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.
Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.
Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..
AMEN.