Kuna nini Tegeta Dar es salaam? Mbona kuna miale mikali ya mwanga kwa angani?

kwani gem ya Barcelona na Juve ni lini?:confused2::confused2::confused2:

Hapa naona 2+ inatoka! lazima 'nitie' mzigo wa maana....
usimwambie mtu..:A S-rap::A S-rap:
 
kwani gem ya Barcelona na Juve ni lini?:confused2::confused2::confused2:

Hapa naona 2+ inatoka! lazima 'nitie' mzigo wa maana....
usimwambie mtu..:A S-rap::A S-rap:

Mkuu kwani weekend kwako inaanza leo?
 
Hata mimi nimeiona, nahisi ni mtambo wa umeme umelipuka maana umeme umekatika mara tu baada ya hiyo miale kuonekana
 
Club mpya zikifunguliwa mara nyingi huwa zaweka leser beams kuwastua na kuwa attract customers. Mfano Bills na San siro zilipofunguliwa waliweka. Chunguza hilo
 
kuna transforma limelipuka huku mbezi juu kama unaelekea ghoba ndolimetoa hiyo miale na sauti kubwa ya kutisha. Tanesco tafadhalini mjemrekebishe mtatuunguzia nyumba na mali zetu. limekuwa likilipuka mara kwa mara ila leo too much wa2 kidogo 2poteze miguu 2lijua ndokishanuka tena!
 
kuna transforma limelipuka huku mbezi juu kama unaelekea ghoba ndolimetoa hiyo miale na sauti kubwa ya kutisha. Tanesco tafadhalini mjemrekebishe mtatuunguzia nyumba na mali zetu. limekuwa likilipuka mara kwa mara ila leo too much wa2 kidogo 2poteze miguu 2lijua ndokishanuka tena!

please mkuu usiwapigie wasizime sijapiga pasi aisee nguo za job
 
Back
Top Bottom