Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Siku chache zilizopita Serikali ilitoa agizo wafanyakazi wa serikali wawe wamelipwa mishahara mapema na ikatoa maagizo kwa watendaji wakuu wa Wizara na Halmashauri. Agizo hilo limetekelezwa na hiyo tumeshuhudia wafanyakazi wa Serikali wenye akaunti wamepata mshahara kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu na wale wenye akaunti CRDB nao wamepata.
Lakini cha kushangaza Wale wenye akaunti NBC mpaka leo hawajapata mshahara. Kunani NBC? Pesa hizo mnazifanyia nini?
Nawasilisha
Lakini cha kushangaza Wale wenye akaunti NBC mpaka leo hawajapata mshahara. Kunani NBC? Pesa hizo mnazifanyia nini?
Nawasilisha