theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
katika hafla ya kumsimika askofu mpya wa jimbo la mwanza, waziri wasiri ameshindwa kusoma salamu za Rais na badala yake akakabidhi bahasha yenye hizo salamu kwa mhusika.
kwa hakika hii ni stali mpya ya serikali ya awamu ya nne ya KASI ZAIDI... kwani ni nadra sana kwa mwakilishi wa Rais katika hafla au sherehe fulani kuamshwa na badala ya kusoma hotuba/salamu kwa niaba ya anayemwakilisha, kuona anaishia kukabidhi bahasha.
ni jambo la kushangaza hususani kipindi hiki ambacho kuna madai kwamba KUNA UDINI. wengi walikuwa na shahuku ya kumsikia rais atasema nini, hata kama hakuweza kufika kama ilivyotarajiwa, mwakilishi alitarajiwa kusoma walaka/hotuba/salamu hizo kwa niaba ya rais
Hii ni ishara gani, kwa Rais ambaye tangu alipoingia madarakani amekuwa ni nadra kutohudhuria sherehe, hafla au adhimisho muhimu bila kuajali aliyeaandaa labda kama ajaalikwa, kama ilivyotokea kwa sherehe za wafanyakazi!
pengine kuna mwenye wazo juu ya hili!
kwa hakika hii ni stali mpya ya serikali ya awamu ya nne ya KASI ZAIDI... kwani ni nadra sana kwa mwakilishi wa Rais katika hafla au sherehe fulani kuamshwa na badala ya kusoma hotuba/salamu kwa niaba ya anayemwakilisha, kuona anaishia kukabidhi bahasha.
ni jambo la kushangaza hususani kipindi hiki ambacho kuna madai kwamba KUNA UDINI. wengi walikuwa na shahuku ya kumsikia rais atasema nini, hata kama hakuweza kufika kama ilivyotarajiwa, mwakilishi alitarajiwa kusoma walaka/hotuba/salamu hizo kwa niaba ya rais
Hii ni ishara gani, kwa Rais ambaye tangu alipoingia madarakani amekuwa ni nadra kutohudhuria sherehe, hafla au adhimisho muhimu bila kuajali aliyeaandaa labda kama ajaalikwa, kama ilivyotokea kwa sherehe za wafanyakazi!
pengine kuna mwenye wazo juu ya hili!