mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,117
hili ndilo jibu sahihiiiTanzania haifungamani na upande wowote
hili ndilo jibu sahihiiiTanzania haifungamani na upande wowote
hili ndilo jibu sahihiiiTanzania haifungamani na upande wowote
Naunga mkono mkuuThread kama hizi ingekuwa vyema kama zingeliangaliwa upya na moderators kama zinatosha kuendelea kujadiliwa Jukwaani.
Ni sawa na kutoa mafunzo/siri ya/za kijeshi kwa adui usiyemjua.
Sijui ni umri au ni kutofanya HOME WORK ya kutosha .. Tanzania imekuwa ikipata mafunzo ya kijeshi na kununua au kupewa zana za kijeshi toka kila kona ya dunia.toka uwe mshabiki wa ccm akili zote zimekutoka hayo ni mafunzo ya kijeshi ww leo hii urusi akifanya madunzo ya kijeshi na nchi yyte ya NATO au U.K utasema hiyo ni mafunzo tu
anachokizungumza jamaa kina ukweli sema ti impact yake ni ndogo sababu taifa letu si kubwa kijeshi na kiuchumi
tunafahamu tanzania haifungamani na upande wwte lakini hii seta ni ya ki makarayasi na sio uhalisia
Sina uhakikaTanzania haifungamani na upande wowote
china wana hela nyingi,achana na hao waeskimo,hela zao mashart kibao,mara tubanduane dume kwa dumeUmeona ilo hasa ndo nawaza
Madhara yake ndio kama hayo. Umekuja kuanzisha uzi usiohitajika...[/QUOT
Wewe Ni msemaji wa nani humu ndani? Uzi huo umeelezwa nani kuwa hauhitajiki?
Mzee kula mkono nini?Filamu za kikubwa, za mamba kumla mwanae...
Kwa nini tusichague KWA MUGABEKwanini tusichague German
Kwelimkuu hii ni kwenye makaratasi na sio uhalisia mfano tanzania inapokea misaada mingi kitoka USA na chi za ulaya ambazo zipo ktktumoja wa NATO leo ukishirikiana na mpinzani wa hizo nchi zenye msaada kwako utaonekana vp?
Tanzania haifungamani na upande wowote
Trump ni rafiki mkubwa wa putin rais wa urusi na magufuli ni rafiki WA PUTIN KWA HIYO TRUMP NI RAFIKI WA MAGUFULI SABABU TRUMP NI RAFIKI WA PUTIN AMBAYE NI RAFIKI WA MAGUFULI. CASE CLOSED HAKUNA MADHARAMadhara yake ndio kama hayo. Umekuja kuanzisha uzi usiohitajika...
Kwa hiyo Tanzania aina msimamo yenyewe popote kambi