Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Wadau Asalaam aleykumu/Bwana Yesu asifiwe sana.
Wadau naomba mchango wenu kwenye hili, kila atakayechangia awe kwenye mahusiano au ndoa.
Tangu umeanza mahusino, kuoa au kuolewa umewahi kukutana na machafuko? Je uliyatatua vipi? Nini kilichopelekea kuwa hivyo? Kila mtu atoe kisa cha ukweli kwa kufanya hivyo kuna wale ambao wanafikiri kwamba ndoa ni kula bata kila siku hakuna migongano wala mikwaruzo.
Asanteni kwa kuchangia.
Muwe na siku njema
CD
Wadau naomba mchango wenu kwenye hili, kila atakayechangia awe kwenye mahusiano au ndoa.
Tangu umeanza mahusino, kuoa au kuolewa umewahi kukutana na machafuko? Je uliyatatua vipi? Nini kilichopelekea kuwa hivyo? Kila mtu atoe kisa cha ukweli kwa kufanya hivyo kuna wale ambao wanafikiri kwamba ndoa ni kula bata kila siku hakuna migongano wala mikwaruzo.
Asanteni kwa kuchangia.
Muwe na siku njema
CD