snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,709
- 23,644
mara ya mwisho tuliachana paleee kwenye mishkaki ya firigis
mwenzenu pacha wangu jamani
hata wifi yangu sakapal nae simuoni!
eh jamani nisaidieni kuwatafuta Madame B hujamuona chuoni huko? Nyani Ngabu hata huko ughaibuni nako hawapo? Saint Ivuga kwani hata kwenye fiesta labda alikamwatwa kwa kuwa over aged? Mtambuzi kwani mara ya mwisho si aliniaga anakuja kwako kumuona mdogo wake toto tundu? Boflo hujamuona hata kwenye parlour yako wakifanyiana massage na my wee wangu ?si unajua ni newlyweds. Bishanga hujamuona akija kununua bhitoke jhamani? Preta kule mbezi beach labda hukupishana nae getini af ye akajificha asipigwe picha na Boflo ? Kaizer na we hujamuona hata kwenye viti virefu jamani,wer ist mien bro? FP mwenyee kaka avi koki?wahamba koki na mdala wake? Kaunga hata huko kwako kigoma hujamuona labda kafata migebuka!?
nisaidieni mwenzenu!
mwenzenu pacha wangu jamani
hata wifi yangu sakapal nae simuoni!
eh jamani nisaidieni kuwatafuta Madame B hujamuona chuoni huko? Nyani Ngabu hata huko ughaibuni nako hawapo? Saint Ivuga kwani hata kwenye fiesta labda alikamwatwa kwa kuwa over aged? Mtambuzi kwani mara ya mwisho si aliniaga anakuja kwako kumuona mdogo wake toto tundu? Boflo hujamuona hata kwenye parlour yako wakifanyiana massage na my wee wangu ?si unajua ni newlyweds. Bishanga hujamuona akija kununua bhitoke jhamani? Preta kule mbezi beach labda hukupishana nae getini af ye akajificha asipigwe picha na Boflo ? Kaizer na we hujamuona hata kwenye viti virefu jamani,wer ist mien bro? FP mwenyee kaka avi koki?wahamba koki na mdala wake? Kaunga hata huko kwako kigoma hujamuona labda kafata migebuka!?
nisaidieni mwenzenu!
Last edited by a moderator: