Ansah Miles
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 392
- 175
Aisee tuna kazi nchi yetu
Nafikiri huijui sheria ya kinga ya kibunge, ni matendo yanayofanyika ndani ya bunge tu ukifanya kosa nje ya bunge unahukumiwa kama mwanachi mwingine.Ana kinga ya Kibunge, hawezi kushtakiwa.
elchapo &co
Angalia tusikusikie kwe redio umepelekwa kisutu shauri unapoongea kuwa na mipaka hao ni vigogo wa nchi hii wewe ni mtu mdogo hata kwenye kiganja hujai kukupoteza ni asubuh
Nikisikia Jina la Oliver Tambo basi namuona JK ,Nzowa,Masogange na Rumishael wakiwa na viroba vya dawa za kutengeneza panadol.
Angalia tusikusikie kwe redio umepelekwa kisutu shauri unapoongea kuwa na mipaka hao ni vigogo wa nchi hii wewe ni mtu mdogo hata kwenye kiganja hujai kukupoteza ni asubuh
Unapomsikia mtu anajitapa kuhusu kitu fulani ni bora ukamtajia! Sasa huyu jamaa anayejitapa kwamba amedhamiria kupambana na wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ili aweze kuwadhibiti! Hivi akiambiwa kuwa watoto wa wakubwa serikalini ndo matajiri wa biashara hiyo ataweza?
Unapomsikia mtu anajitapa kuhusu kitu fulani ni bora ukamtajia! Sasa huyu jamaa anayejitapa kwamba amedhamiria kupambana na wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ili aweze kuwadhibiti! Hivi akiambiwa kuwa watoto wa wakubwa serikalini ndo matajiri wa biashara hiyo ataweza?
Mtoa mada keshawataja kazi kwake magufuli
Nafikiri huijui sheria ya kinga ya kibunge, ni matendo yanayofanyika ndani ya bunge tu ukifanya kosa nje ya bunge unahukumiwa kama mwanachi mwingine.