Mrithi wa shekh yahya na ambae ni mtoto wake amesema kuwa mwaka huu kuna mawaziri watakufa ghafla,na pia kuna viongozi wakubwa wa kidini watafanya mambo ya ajabu ambayo yatawadhalilisha na kuwashushia unaarufu na heshima zao.
KUMBE MAMBO HAYA BADO YAPO???
SOSI:MAJIRA
KUMBE MAMBO HAYA BADO YAPO???
SOSI:MAJIRA