miss gisenyi
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 700
- 490
Hali ni mbaya kiasi hicho?? anyway, challenge accepted.
Jitahidi sana umlee mwanao ni zawad bora isiyoweza kuwa replaced
Hali ni mbaya kiasi hicho?? anyway, challenge accepted.
Wakawepo wanaume 500 kama wewe dunian patakuwa pa tofauti
kweli 500 kama huyu hamna??!!
Ni kweli mkuu. Hata mimi sikuwahi kumwona baba kwani alifariki nikiwa na miezi mitatu tu. Looking back now naona kuna mambo ambayo ningekuwa na baba pengine ningekuwa tofauti kidogo. Ni wazi kuna vitu nimekosa hasa ile model na kuwa na shujaa wa moja kwa moja katika maisha yangu. Mshauri, mlinzi na mhimili wa kisaikolojia katika ile miaka ya utoto, utineja n.k.
Pamoja na haya yote my mom was/is one of the strongest women I know. Alihakikisha kuwa nalelewa katika misingi imara, namfahamu Mungu na kutenda wema na kuwa humble hapa duniani. Na kutokana mfano wake, napenda na kuheshimu wanawake sana. Zaidi ya yote, lile pengo la kumkosa baba siku moja litazibwa kwa mimi kuwa baba na mume bora kabisa kwa wanangu na mke wangu siku nitakayoamua kuoa na kuwa na watoto. Nitahakikisha kuwa nilichokikosa mimi wao wanakipata sabini mara sabini na kuendelea!
Kila kitu ni namna unavyokitafsiri,kujiona haujakamilika nayo ni fikra uliyojijengea kichwani.
Nakumbuka siku nyingi zilizopita tulikuwa tunafanya mitihani ya form 6 mimi na rafiki zangu watano tumekaa sehemu tunakula. Mooja wwetu akaanzisha stori kwamba hajawahi kumuona baba yake,tangu mdogo analelewa na mama yake!
Cha ajabu wote pamoja na mimi tulikuwa wa aina hio. Tuliolelewa na mama tu bila kumuona baba au kumuona wakati uko mdogo sana!
Kama ulivyomaliza,kwa experience yangu[sio kiuchumi/kielimu au kwa kukosa chochote,kwani nimepata kila nilichokuwa napata kwa mama] sitataka hata siku moja mtoto wangu amkose baba yake!
Jitahidi sana umlee mwanao ni zawad bora isiyoweza kuwa replaced
I hear you man. And the thumb(s) up from Black Mamba aka the GOAT himself is real cool.
Realest talk .
Kwahiyo akiumia ndiyo anayapata hayo malezi au?
Bahati nzuri mimi baba yangu yupo mpaka leo, na ananifundisha jinsi ya kuwa baba bora pia.
Kaka hili jammbo kumbe linatuathiri wengi?
kaka asikwambie mtu,mpk sa hv maisha ninayoishi mungu mwenyewe anajua, but we are the men, inabidi tukubali you never know Mipango ya Mungu.
huwa siyapi nafasi mambo nisiyoyawezaHuwezi kukataa au kubisha umuhimu wa wazazi wote kwenye makuzi ya mtoto, wewe lelewa na baba tu alafu useme unajiona kawaida huna tatizo, utakua na matatizo ya akili.